Waacheni waendelee kukaza shingo

Waacheni waendelee kukaza shingo

SNAP J

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2013
Posts
7,117
Reaction score
8,096
Nasema acha aendelee kukaza shingo yake, yeye yule anayejiona yuu mkuu na kuwadharau wakaao juu ya nchi.

Nasema wacha washauri wake waendelee kumpigia makofi na vigeregere wakati wakijua fika ya kuwa karibu shingo ile inaelekea kuvunjika vibaya,

Nasema hivi, tena wala msiwastue hao wanaojiona wana hati miliki ya nchi hii, waacheni waendelee kufanya wanayojisikia kuyafanya maana tiyari wanajiona wapo juu ya sheria.

Nasema waaacheni, waacheni hivyo hivyo ili tuje tupate mengi ya kuja kuwasimulia watoto na wajukuu wetu.
 
Wakati Musa anaongea na Farao kuwa awape ruhusa waisrael waende katika nchi walioahidiwa Farao aliwacheka Sana

Akawauliza huyo Mungu jina lake Nani ? Anataka muondoke kwa cku ngapi?

Alibeza Kila jihudi aliyoifanya Musa ili kumshawishi Farao atoe ruhusu
Wengi tunajua mwishoni Nini kilitokea

Tusishangae haya yote yanayotoke maana hakuwa wakati Wakoloni wamewaachia kirahisi nilazima kuwe na jitihada za kitosha na watawaliwa wang'ang'ane vya kitosha I'll kuhakikisha kuwa wanatoa ruhusa watu waondoke
 
Enyi watanzania msife moyo kwani hakuna jipya duniani.

JPM propaganda minister prof. Kabudi huwa namfananisha na huyu aliyekuwa puppet wa Hitler.

Hakika mwisho wake hautakuwa mzuri hata kidogo.
Screenshot_2020-11-16-21-38-06-304_com.android.chrome.jpeg
 
Ulichokisema ni Sahii kabisa.
Wakati Musa anaongea na Farao kuwa awape ruhusa waisrael waende katika nchi walioahidiwa Farao aliwacheka Sana
Akawauliza huyo Mungu jina lake Nani ? Anataka muondoke kwa cku ngapi?...
 
Wakati Musa anaongea na Farao kuwa awape ruhusa waisrael waende katika nchi walioahidiwa Farao aliwacheka Sana...
Neno la Mungu huwa haliishii kwenye kumwonya mhalifu pekee, hata hao wanaodhani wamesimama, Wana wa Israel walipokataa kuongozwa na Musa wakakaza Sana kumnung'unikia, Biblia inasema, Watu hao walitengwa pande mbili, wale ambao hawakuwa miongoni mwa wasio nung'unika walikaa upande wa Musa, na waliokuwa wakimnung'unikia Musa, walitengwa kwenye kundi la Musa na kukaa Kwa kora aliyekuwa kiongozi wa wanung'unikaji, basi Aridhi ilipasuka na kuwameza wote waliokuwa waliokuwa upande wa Kora (wanung'unikaji)

Kwa hiyo niinyi nanyi ni mfano wa hao wanung'unikaji bila hata sababu ya Maana, ingawa binadamu hawezi kutoa hukumu juu yenu, lakini utajuaje kama adhabu yenu ndio Chama chenu kuisha tu Kwa mpigo kikakosa tu wabunge, kutoka wabunge 50 Hadi mmoja, utajuaje labda ndio laana yenu wanung'unikaji, najiuliza tu maswali kuwahusu ninyi, Maana hamishi kuwasema vibaya viongozi, mmejipa kazi ya kuwa wanung'unikaji kila uchwao, kama ni Adhabu, wacha mchapwe!!

Biblia inasema pia, Mawazo ya Mungu yako mbaaali kama mbingu na Aridhi vilivyo na umbali wake, je ni Nani awezaye kuyafahamu?

Cha ajabu, mmekuwa watoa hukumu juu ya Uongozi huu, utadhani ninyi nanyi ni sehemu ya mawazo ya Nyumba, mkikoti Mandiko na kuyatumia kinyume kabisa na matumizi yake,

Mungu amesema, ameandaa siku moja tu ya kuja kuwahukumu watu woote, waovu na wema watakusanyika siku hiyo!

Mwacheni Mungu awe hakimu katika Enzi yake
 
Akawauliza huyo Mungu jina lake Nani ? Anataka muondoke kwa cku ngapi?
Mkuu mambo ya imani (Musa) na siasa havihusiani kqbisa.

Hebu fikiria hapo Uganda tu, ni kwa miaka mingapi waganda wamekaliwa shingoni na M7? Hivyo hivyo Cameron, Ivory Coast, CAR, Gabon, Russia (Putin anachinja wapinzani), n.k. Huko Imani (Mungu) haipo?

Kinacholeta mabadiliko ya kisiasa ktk taifa ni "watu wakiamka na kuamua kuidai haki yao". Yaani wakaamua kuchapana na wanaomtetea na kumlinda dikteta na Mambo yake. Vinginevyo, sahau.
 
Jiwe kwa kujinasibu sasa eti"eti haijawahi tokea rais kupata kura 84%" utadhani alizipata kwa uhalali,,vituko kweli kweli yaan angejua anavyochukiwa
 
Neno la Mungu huwa haliishii kwenye kumwonya mhalifu pekee, hata hao Wana wa Israel walipokataa kuongozwa na Musa wakakaza Sana kumnung'unikia, Biblia inasema, Watu hao walitengwa pande mbili, wengine Kwa Musa na wengine Kwa kora, kora ndiye aliyekuwa kiongozi wao wanungunikao, basi Aridhi ilipasuka na kuwameza wote waliokuwa wakinung'unika...
Asanteee (in Anna Makinda's voice).

Umetiririka vilivyo mkuu. Kuna mtu aliwahi kuniambia kwamba kuna dhambi ya manung'uniko inaangamiza Sana watu. Wewe umenipa maelezo mazuri yenye mifano toka ktk biblia.
 
ila kama nakuelewa bro,mara kule zimbabwe watu wameteseka sana,Congo hadi leo na mataifa mengine kama hayo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom