Hivi kweli kuna watu wanapona kwa maombi?

Mkuu Ni kweli tupu.toka utoto wangu sijawahi shuhudia mtu anae umwa tatizi linalo onekana kwa macho kapona kwa MAOMBI! wengi ya waliopona Ni wale wa kipofu macho yasiyo na dalili za upofu,kiziwi,kilema wa magongo wenye ulemavu usio na dalili za kulemaa na SI wale wenye ulemavu usio na Shaka.
Jiulize kama maombi yanaponyesha kwanini wagonjwa wakiumwa wanakimbilia hospital badala ya kanisani au msikitin
Ukiona mtu anaombewa ujue ana ugonjwa wa akili tu
 
Jiulize kama maombi yanaponyesha kwanini wagonjwa wakiumwa wanakimbilia hospital badala ya kanisani au msikitin
Ukiona mtu anaombewa ujue ana ugonjwa wa akili tu
Sure mkuu. Nikiwa mtoto niliwahi kumuuliza Bimkubwa mmoja ambaye alikuwa Mwalimu wangu wa sayansi. Mwalimu huyu alivunjika mguu.
SWALI:
Mwalimu mbona sisi tukiugua unatwambia twende hospitali kisha tulete vyeti shuleni, lakini wewe umevunjika mguu na huendi hospitali unaombewa tuu je utapona bila kula dawa? ALIISHIA KUPATA KILEMA CHA KUDUMU KWA UZEMBE WAKE. Namimi niliangukia kichapo kila akiikumbuka SWALI LANGU Hadi Nika hamishwa shule!
HAKUNA ALIYE WAHI PONA TATIZO LINALO ONEKANA KWA MAOMBI!
 
Mimi pia nimepona kwa maombi na si siku nyingi ni jana tu! Na ni maumivu nilikuwa na yasikia kabisa ila yakaachia kabisa! Namtukuza Mungu juu ya uponyaji huo
Mkuu hayo yasiyo onekana Sina Shaka nayo yanapona ila YANAYO ONEKANA BILA SHAKA YOYOTE HAYAPONI!!!!!!
 
Labda niseme kwa ueleo wangu unazungumzia DINI ipi na Mungu yupi hapo ndio tuje kwenye maombi yenyewe,kumbuka DINI ya Mwenyezi Mungu ni Moja na Mitume wake wote walikuwa DINI Moja na ndiyo Maana hakuna Mtume aliyekuja akampinga mwenzake zaidi ya kuendeleza alipoishia Mwenzake.
Na hakuna Mtume aliyefanya muujiza kwa jina lake,yaani walifanya kwa kumuomba Mwenyezi Mungu. Sasa hapo ndipo tunapokuja kwenye ukweli hayo maombi ni kwa Mungu yupi? Ukisema kwa jina la Mtume Muhamad unakosea au kwa jina la Yesu, wewe muombe Mungu wako aliyekuumba
 
Kaka yangu alipona, alianza kuumwa macho akiwa form one. Alikua anatumia miwani alivyofika form four macho yakagoma kabsa kuona hata kwa miwani. Jumapili moja alikuja kuchukuliwa na mchungaji wa kanisa fulan la kilokole. Siku hiyo alirudi anaona vizuri. Nilichojifunza
1. Maombi yanaponya maradhi Ila hasa maradhi ya kurogwa.Maradhi yanayoingia mwilini kiroho Kama kurogwa hayawez kutibiwa hospital, maombi ndio suluhisho

2.Imani kwamba Mungu atakuponya ni muhimu sana, Kaka yangu yule alikua haamin kbs ktk maombi. Sisi ni wakatoliki hivyo bro alikua haamin kbs makanisa mengine. Alikua akisisitiza maneno ya kanuni ya Iman" nasadiki kwa kanisa moja takatifu katoliki la mitume" hivyo tulikua tukimlazimisha kwenda kuombewa bila yeye kupenda na hakupona. Siku aliyopona aliamua mwenyewe kwenda kuombewa na aliondoka home anasema anakwenda kuona.

3. Kama umeponywa maradhi ya kichawi inabidi uwe karibu Sana na Mungu Kwan wachawi wataendelea kukusumbua. Ndugu yangu huyu aliendelea kusumbuliwa na wachawi. Alikuja kupata homa Kali akakimbizwa akalazwa hospital Ila ajabu asubuhi yake hakuwepo hospital akaja kuokotwa porini akiwa hoi na akafariki akiwa anarudishwa hospital. Yapo matukio mengi kwake yalomkuta mpaka tukahis anarogwa, sijayaandika hapa.

4. Kuna nguvu kubwa Sana ktk maombi. Nikiwa darasa la 3 nilipoteza viatu shule, tulikua tunavua na kuweka uwanjan Kama magoli ya mpira baada ya mchezo sikuvikuta viatu vyangu. Mama akagoma kuninunulia viatu. Usiku ule nilisali Sana rozali nikamuomba Mungu anisaidie. Asubuhi nilitoka home pekua njiani niliokota elfu kumi. Nikanunua sendoz nikaenda nazo shule na Jumapili mnadani nikanunua viatu. Mara nyingi nilikua nikipata shida naomba na Mungu anajibu. Ila nilipoanza tabia ya kugongana na Mungu akaacha kunisikiliza mpaka leo. Mambo yakitulia ntarudi kanisani kwa nguvu zote.
 
Wengi tu Kuna jamaa alikuwa dereva na muislamu aliletwa kanisani akiwa hawez kuamka, kuongea Wala kusikia na hajitambui hata mke wake na watoto hawajui na hajui watt Ni Nini na maana ya mke!!!
alipigwa fire maombi ya Siku 14 Tena kambi, na akaanza kupona taratibu Sasa hivi mzima anafanya Kazi Yap merkez Morogoro...
...ukisikia story inaanza 'kuna jamaa flani'! Ujue tayari ni fake !
 
Sure mkuu. Nikiwa mtoto niliwahi kumuuliza Bimkubwa mmoja ambaye alikuwa Mwalimu wangu wa sayansi. Mwalimu huyu alivunjika mguu.
SWALI:
Mwalimu mbona sisi tukiugua unatwambia twende hospitali kisha tulete vyeti shuleni, lakini wewe umevunjika mguu na huendi hospitali unaombewa tuu je utapona bila kula dawa? ALIISHIA KUPATA KILEMA CHA KUDUMU KWA UZEMBE WAKE. Namimi niliangukia kichapo kila akiikumbuka SWALI LANGU Hadi Nika hamishwa shule!
HAKUNA ALIYE WAHI PONA TATIZO LINALO ONEKANA KWA MAOMBI!
daaaaaaa,nimecheka sana
 
Mimi naamini uwepo wa Mungu namuabudu pia mfuasi wa dini fulani. Lakin kwa haya mambo ya mtu kupona kwa maombi au dua tu huwa siamini. Inaezekana kweli zamani enzi za manabii watu walikuwa wanapona kweli kwa maombi/ dua lakin kwa dunia ya sasa sidhani kama kuna hki kitu. Yani mtu kupona ugonjwa kwa maombi tu bila kutumia dawa au vtu kama ivi. Ulishwahi kushuhudia mtu aliepona kwa maombi tu? Sio kushuhudia kwnye tv au kuhadithiwa namaanisha kushuhudia kwa macho yko mgonjwa/ mtu alikuwa na matatizo akawa sawa kwa maombi tu? Hpa namaanisha labda mtu ulikuwa unamuona ana struggle kwa muda mrefu baadae akaenda kwenye maombi akawa sawa. Umewai shuhudia ktu km hii?
Labda ungeumwa ukaombewa usingepona ukaleta ushuhuda,ningekuelewa.Lakin hujaumwa unapinga nini?
 
Jiulize kama maombi yanaponyesha kwanini wagonjwa wakiumwa wanakimbilia hospital badala ya kanisani au msikitin
Ukiona mtu anaombewa ujue ana ugonjwa wa akili tu
Katika ulimwengu wa roho na msalaba wa kuzimu, tambua kuna magonjwa ambayo chanzo chake ni kutoka msalaba wa kuzimu. Magonjwa haya huwa ni halisi kabisa kama pressure, kisukari na hata tatizo ambalo linakuwa sugu bila kutibika (sio kama maleria, nk) hivyo basis magonjwa haya yaliyotokana na msalaba wa kuzimu huponyeka kirahisi kwenye maombi, kupitia kwa imani yako, na mtumishi wa Mungu wa kweli!!
Pia magonjwa mengine ambayo ni hayo hayo kwa mapenzi ya Muumba yanatibika ila sio kwa imani haba
 
Katika ulimwengu wa roho na msalaba wa kuzimu, tambua kuna magonjwa ambayo chanzo chake ni kutoka msalaba wa kuzimu. Magonjwa haya huwa ni halisi kabisa kama pressure, kisukari na hata tatizo ambalo linakuwa sugu bila kutibika (sio kama maleria, nk) hivyo basis magonjwa haya yaliyotokana na msalaba wa kuzimu huponyeka kirahisi kwenye maombi, kupitia kwa imani yako, na mtumishi wa Mungu wa kweli!!
Pia magonjwa mengine ambayo ni hayo hayo kwa mapenzi ya Muumba yanatibika ila sio kwa imani haba
Hayo magonjwa ya msalaba ya kuzimu hata kama yapo lakini yakishaonyesha dalili za magonjwa ya kawaida ni ngumu kupona kwa maombi ukiona umeenda hospitali na vipimo vikaonyesha huna kitu na ww bado hujisikii vizuri haimanishi umerogwa hii science bado vitu vingi haijui mfano ugonjwa kama shizophrenia medicine inashindwa kutambua why katika ubongo kunakuwa na abnomal neurons sign inayopelekea mtu kupata halllucination na delusion
Kushindwa kwa science kuelewa pathophysiology ya ugonjwa wa shizophrenia haimanishi huyu karogwa au ana mapepo ugonjwa kama huu mtaan watasema karogwa
 
Hayo magonjwa ya msalaba ya kuzimu hata kama yapo lakini yakishaonyesha dalili za magonjwa ya kawaida ni ngumu kupona kwa maombi ukiona umeenda hospitali na vipimo vikaonyesha huna kitu na ww bado hujisikii vizuri haimanishi umerogwa hii science bado vitu vingi haijui mfano ugonjwa kama shizophrenia medicine inashindwa kutambua why katika ubongo kunakuwa na abnomal neurons sign inayopelekea mtu kupata halllucination na delusion
Kushindwa kwa science kuelewa pathophysiology ya ugonjwa wa shizophrenia haimanishi huyu karogwa au ana mapepo ugonjwa kama huu mtaan watasema karogwa

Of all names bro you chose Iblis
 
Jaman watu wanapona kuna jamaa nilikuwa nasoma naye alikuwa na tatizo la kigugumizi kipindi chote tukiwa tunasoma naye lakini aliombewa akapona kabisa
 
Back
Top Bottom