Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,620
- 2,142
Jiulize kama maombi yanaponyesha kwanini wagonjwa wakiumwa wanakimbilia hospital badala ya kanisani au msikitinMkuu Ni kweli tupu.toka utoto wangu sijawahi shuhudia mtu anae umwa tatizi linalo onekana kwa macho kapona kwa MAOMBI! wengi ya waliopona Ni wale wa kipofu macho yasiyo na dalili za upofu,kiziwi,kilema wa magongo wenye ulemavu usio na dalili za kulemaa na SI wale wenye ulemavu usio na Shaka.
Ukiona mtu anaombewa ujue ana ugonjwa wa akili tu