Ningepata nafasi, ningewapigia magoti na kuwashukuru Umoja wa Ulaya

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,991
17,888
Sipendi kuwa mnafiki hata kidogo!

Mungu aubariki umoja wa Ulaya EU.

Ningepata nafasi ningepiga magoti mbele ya EU na kuwashukuru kwa jinsi walivyoisaidia nchi hii sina la kusema.

Tatizo ni ufisadi, rushwa na udikteta ndo vinawafanya msiendelee mngeitumia hiyo misaada ya hawa "watukufu wazungu" tungekua mbali jifunzeni kwa korea ya kusini nyie mataga.

Wazungu wametutendea mengi mabarabara yote haya ni umoja wa Ulaya, miradi yote mikubwa ni umoja wa Ulaya na Marekani.

Mungu awabariki sana wazungu maana wanajua utu na ubinadam na ndo maana hata wakifanya makosa ni rahisi kukiri na kuomba radhi na ni watu ambao wanabadilika wanaamua kulifata jambo wakiona ni sahihi.

Nazidi kusisitiza sana kwamba nitasimama na Umoja wa Ulaya dhidi ya hii serikali ya awamu ya tano.

Niiteni wakala wa mabeberu lakini huo ndo ukweli ningekua na uwezo ningepita magoti mbele ya bunge la umoja wa Ulaya EU na kuwashukuru jinsi wanavyofanya na kutetea demokrasia.

Allah wabariki wazungu wote haswa jumuiya ya EU.

Tena naomba kabisa niwaambie kuchagua kusimama na EU ni kusimama na haki, uhuru, maendeleo na mwanga wa haki wakati kusimama na Mataga na awamu ya tano ni kusimama na giza, utekaji,umaskini, na dhulma. Siwezi kusimamia ujinga kama huo nitasimama na EU maana ndo fungu jema.

Tena cha mwisho zaidi nawaomba wasicheleweshe vikwazo, waweke viwe vikali ili tuwe na akili ya kuamka na kukataa udikteta maana Watz tumelala sana!
 
Kimsingi Tu jamaaa wanatusaidia , ukweli ndo huo , naona watu walioajiliwa serikalini na kupokea mishahara minono wanaona kama maigizo hvi , ila bila hao wadau nothing we can do right now , lazima tupitie msoto tuu, madini mnayo ndiyo , mbuga mnazo ndio , na gas pia haya yawanyieni kazi sasa tuone chimbeni bas , tafteni masoko tuone.

Ifike mahala tuache kujazana ujinga na kupozana Kwa kauli za kindezi. Na kama tungekuwa na akli timamu hii misaada ya hawa wajuba ingetufikisha mbali Sana , watu wanapiga ufisadi na miradi yenyewe haina mbele wala nyuma af mtu anaropoka et mabeberu ....

Ila Lissu alishindwa, na hafai kuwa raisi anayoyafanya ni chuki na visasi tuu nothing new
 
Maskini huwa hana uwezo wa kuchagua kwa uhuru anachokitaka. Tukiweza kula vizuri, kulala vizuri, kupata huduma nzuri za afya, elimu nzuri, kuvaa vizuri suala la kitu gani kizuri cha kujifurahisha hauto walazimisha watanzania( democracy ), watakitaka na kukitafuta hata kwa damu. Unachofikiria sasa hivi bado sana,.

Wamechame wakati walikuwa na hali nzuri ya maisha kwa ujumla, waliweza kuchagua chochote na bila kuweweseka. Baada ya hali ya maisha kuwa ngumu chochote walicho ahidiwa kuwa kitaleta nafuu ya maisha yao, naamini umewasikia wameongea kwenye box la kura. Na nakuhakikishia kila mwahai Anajua kuwa Kaka alikuwa hatakiwi. Hakuna wizi wa kura kuibiwa na hata warudie uchaguzi mara mia na Msimazi awe Chadema kaka atapigwa tuu.

UCHAGUZI WA KIDEMOKRASIA UNA MAANA SANA KWENYE JAMII AMBAYO INA KIWANGO FULANI CHA MAENDELEO. KWENYE UMASIKINI VIGUMU SANA DEMOKRASIA KUSHAMIRI.
 
Kama hiyo misaada ni ya magufuli pekeyake hapo sawa, ila kama ni ya Watanzania wote una tatizo. Kuna siku ccm itaanguka na chama mbadala kitaongoza, ila vifo vitakavyotokea sababu ya kukosa madawa kisa tumewekewa vikwazo nk havitakaa viwe na mbadala.

NAOMBA TUSIWEKEWE VIKWAZO WALA KUNYIMWA MISAADA SABABU YA KURA. SISI NI TAIFA HURU, NA TUNAHITAJI USHIRIKIANO WA KIBIASHARA NA KIMSAADA NA MATAIFA MENGINE.
 
Wazo lako ni zuri na linafaa lifanyiwe kazi

Nakuunga mkono...ila ingefaa pia tupate wadau wa kuchangia gharama ili kwenda EU kupiga magoti, nami nitaenda

Mkuu jaribu kumpigia Robert Amstedam atatoa assist kama kwa Lissu
 
BinAdamu tuna roho mbaya sana

Unaombea Ngalawa izame wakati na wewe ni abiria ndani ya Ngalawa hiyo!

Unachoombea hakitakuwa hivyo, omba sana kwa Mungu wako afungue milango ya kipato chako

ukidhi majukumu yako kwa familia.

.
 
Sipendi kuwa mnafiki hata kidogo!

Mungu aubariki umoja wa Ulaya EU.

Ningepata nafasi ningepiga magoti mbele ya EU na kuwashukuru kwa jinsi walivyoisaidia nchi hii sina la kusema.

Tatizo ni ufisadi, rushwa na udikteta ndo vinawafanya msiendelee mngeitumia hiyo misaada ya hawa "watukufu wazungu" tungekua mbali jifunzeni kwa korea ya kusini nyie mataga.

Wazungu wametutendea mengi mabarabara yote haya ni umoja wa Ulaya, miradi yote mikubwa ni umoja wa Ulaya na Marekani.

Mungu awabariki sana wazungu maana wanajua utu na ubinadam na ndo maana hata wakifanya makosa ni rahisi kukiri na kuomba radhi na ni watu ambao wanabadilika wanaamua kulifata jambo wakiona ni sahihi.

Nazidi kusisitiza sana kwamba nitasimama na Umoja wa Ulaya dhidi ya hii serikali ya awamu ya tano.

Niiteni wakala wa mabeberu lakini huo ndo ukweli ningekua na uwezo ningepita magoti mbele ya bunge la umoja wa Ulaya EU na kuwashukuru jinsi wanavyofanya na kutetea demokrasia.

Allah wabariki wazungu wote haswa jumuiya ya EU.

Tena naomba kabisa niwaambie kuchagua kusimama na EU ni kusimama na haki, uhuru, maendeleo na mwanga wa haki wakati kusimama na Mataga na awamu ya tano ni kusimama na giza, utekaji,umaskini, na dhulma. Siwezi kusimamia ujinga kama huo nitasimama na EU maana ndo fungu jema.

Tena cha mwisho zaidi nawaomba wasicheleweshe vikwazo, waweke viwe vikali ili tuwe na akili ya kuamka na kukataa udikteta maana Watz tumelala sana!
Unasemaje? miradi yote mikubwa nchini imefanywa na EU? Wewe kweli ni boy, ukiwa man utaelewa. Kwa sasa endelea kuwapigia magoti hao unaowaita watukufu. Wasiwasi wangu ni kama utasalimika na mambo yao yale ya faragha wakati umewapigia hayo magoti na kuwashukuru jinsi wanavyofanya kama ulivyosema mwenyewe
 
Sipendi kuwa mnafiki hata kidogo!

Mungu aubariki umoja wa Ulaya EU.

Ningepata nafasi ningepiga magoti mbele ya EU na kuwashukuru kwa jinsi walivyoisaidia nchi hii sina la kusema.

Tatizo ni ufisadi, rushwa na udikteta ndo vinawafanya msiendelee mngeitumia hiyo misaada ya hawa "watukufu wazungu" tungekua mbali jifunzeni kwa korea ya kusini nyie mataga.

Wazungu wametutendea mengi mabarabara yote haya ni umoja wa Ulaya, miradi yote mikubwa ni umoja wa Ulaya na Marekani.

Mungu awabariki sana wazungu maana wanajua utu na ubinadam na ndo maana hata wakifanya makosa ni rahisi kukiri na kuomba radhi na ni watu ambao wanabadilika wanaamua kulifata jambo wakiona ni sahihi.

Nazidi kusisitiza sana kwamba nitasimama na Umoja wa Ulaya dhidi ya hii serikali ya awamu ya tano.

Niiteni wakala wa mabeberu lakini huo ndo ukweli ningekua na uwezo ningepita magoti mbele ya bunge la umoja wa Ulaya EU na kuwashukuru jinsi wanavyofanya na kutetea demokrasia.

Allah wabariki wazungu wote haswa jumuiya ya EU.

Tena naomba kabisa niwaambie kuchagua kusimama na EU ni kusimama na haki, uhuru, maendeleo na mwanga wa haki wakati kusimama na Mataga na awamu ya tano ni kusimama na giza, utekaji,umaskini, na dhulma. Siwezi kusimamia ujinga kama huo nitasimama na EU maana ndo fungu jema.

Tena cha mwisho zaidi nawaomba wasicheleweshe vikwazo, waweke viwe vikali ili tuwe na akili ya kuamka na kukataa udikteta maana Watz tumelala sana!
Sawa kabisa. Mikono na miguu kwa pamoja. Kwa msaada wa EU na Marekani kwa mfano; barabara ya Tunduma hadi Sumbawanga siku hizi ni kuteleza tu. Halafu wengine wanawatukana eti ni "madume ya mbuzi". Akili mbovu kabisa.
 
Pale Africa inaojaribu kuchimbua kuona ni Kwa namna Ipi hiyo misaada inagewa!!

Je, ni kweli hiyo ni misaada inayotokana na jasho la wazungu ama ni jasho la Waafrica?

Hicho ndicho Africa inapaswa kufahamu, mpaka leo Mimi siamini kama misaada hiyo ni jasho kweli la wazungu!
 
Maskini huwa hana uwezo wa kuchagua kwa uhuru anachokitaka. Tukiweza kula vizuri, kulala vizuri, kupata huduma nzuri za afya, elimu nzuri, kuvaa vizuri suala la kitu gani kizuri cha kujifurahisha hauto walazimisha watanzania( democracy ), watakitaka na kukitafuta hata kwa damu. Unachofikiria sasa hivi bado sana,.

Wamechame wakati walikuwa na hali nzuri ya maisha kwa ujumla, waliweza kuchagua chochote na bila kuweweseka. Baada ya hali ya maisha kuwa ngumu chochote walicho ahidiwa kuwa kitaleta nafuu ya maisha yao, naamini umewasikia wameongea kwenye box la kura. Na nakuhakikishia kila mwahai Anajua kuwa Kaka alikuwa hatakiwi. Hakuna wizi wa kura kuibiwa na hata warudie uchaguzi mara mia na Msimazi awe Chadema kaka atapigwa tuu.

UCHAGUZI WA KIDEMOKRASIA UNA MAANA SANA KWENYE JAMII AMBAYO INA KIWANGO FULANI CHA MAENDELEO. KWENYE UMASIKINI VIGUMU SANA DEMOKRASIA KUSHAMIRI.
Kipimo gani kinachokufanya useme kuwa kaka alikuwa hachaguliki? Uchafuzi huu ndicho kipimo chako? You are using a faulty scale. Pole mkuu kwa imani hiyo.
 
Sipendi kuwa mnafiki hata kidogo!

Mungu aubariki umoja wa Ulaya EU.

Ningepata nafasi ningepiga magoti mbele ya EU na kuwashukuru kwa jinsi walivyoisaidia nchi hii sina la kusema.

Tatizo ni ufisadi, rushwa na udikteta ndo vinawafanya msiendelee mngeitumia hiyo misaada ya hawa "watukufu wazungu" tungekua mbali jifunzeni kwa korea ya kusini nyie mataga.

Wazungu wametutendea mengi mabarabara yote haya ni umoja wa Ulaya, miradi yote mikubwa ni umoja wa Ulaya na Marekani.

Mungu awabariki sana wazungu maana wanajua utu na ubinadam na ndo maana hata wakifanya makosa ni rahisi kukiri na kuomba radhi na ni watu ambao wanabadilika wanaamua kulifata jambo wakiona ni sahihi.

Nazidi kusisitiza sana kwamba nitasimama na Umoja wa Ulaya dhidi ya hii serikali ya awamu ya tano.

Niiteni wakala wa mabeberu lakini huo ndo ukweli ningekua na uwezo ningepita magoti mbele ya bunge la umoja wa Ulaya EU na kuwashukuru jinsi wanavyofanya na kutetea demokrasia.

Allah wabariki wazungu wote haswa jumuiya ya EU.

Tena naomba kabisa niwaambie kuchagua kusimama na EU ni kusimama na haki, uhuru, maendeleo na mwanga wa haki wakati kusimama na Mataga na awamu ya tano ni kusimama na giza, utekaji,umaskini, na dhulma. Siwezi kusimamia ujinga kama huo nitasimama na EU maana ndo fungu jema.

Tena cha mwisho zaidi nawaomba wasicheleweshe vikwazo, waweke viwe vikali ili tuwe na akili ya kuamka na kukataa udikteta maana Watz tumelala sana!
Allah taallah hakusema ukishatoa msaada uugeuze iwe fimbo kwa uliyemsaidia .Wawe na adabu.Kama suala ni uchaguzi ni kwamba huo umeisha na wataongea mengi sana kuhusu misaada yao na hakuna cha zaidi .Kama wanataka waendelee kutusaidia tena kwa heshima na adabu lakini siyo kutaka kuingia mpaka chumbani.Kama watu wao wameshindwa uchaguzi basi wamshukuru Mungu wasubiri unaofuata au waendelee na ftina zao lakini hawafiki popote.
 
Allah taallah hakusema ukishatoa msaada uugeuze iwe fimbo kwa uliyemsaidia .Wawe na adabu.Kama suala ni uchaguzi ni kwamba huo umeisha na wataongea mengi sana kuhusu misaada yao na hakuna cha zaidi .Kama wanataka waendelee kutusaidia tena kwa heshima na adabu lakini siyo kutaka kuingia mpaka chumbani.Kama watu wao wameshindwa uchaguzi basi wamshukuru Mungu wasubiri unaofuata au waendelee na ftina zao lakini hawafiki popote.
Tatizo hakukuwa na uchaguzi. Dikteta aliwateua anaowataka kisha akafanya hila dhidi ya wananchi. Bingwa wa hila ni shetani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hiyo misaada ni ya magufuli pekeyake hapo sawa, ila kama ni ya Watanzania wote una tatizo. Kuna siku ccm itaanguka na chama mbadala kitaongoza, ila vifo vitakavyotokea sababu ya kukosa madawa kisa tumewekewa vikwazo nk havitakaa viwe na mbadala.

NAOMBA TUSIWEKEWE VIKWAZO WALA KUNYIMWA MISAADA SABABU YA KURA. SISI NI TAIFA HURU, NA TUNAHITAJI USHIRIKIANO WA KIBIASHARA NA KIMSAADA NA MATAIFA MENGINE.
sasa kama hilo.mnalifahamu mnasababu gani ya msingi.kuyafanya mliyofanya tarehe 28 october?
 
Sipendi kuwa mnafiki hata kidogo!

Mungu aubariki umoja wa Ulaya EU.

Ningepata nafasi ningepiga magoti mbele ya EU na kuwashukuru kwa jinsi walivyoisaidia nchi hii sina la kusema.

Tatizo ni ufisadi, rushwa na udikteta ndo vinawafanya msiendelee mngeitumia hiyo misaada ya hawa "watukufu wazungu" tungekua mbali jifunzeni kwa korea ya kusini nyie mataga.

Wazungu wametutendea mengi mabarabara yote haya ni umoja wa Ulaya, miradi yote mikubwa ni umoja wa Ulaya na Marekani.

Mungu awabariki sana wazungu maana wanajua utu na ubinadam na ndo maana hata wakifanya makosa ni rahisi kukiri na kuomba radhi na ni watu ambao wanabadilika wanaamua kulifata jambo wakiona ni sahihi.

Nazidi kusisitiza sana kwamba nitasimama na Umoja wa Ulaya dhidi ya hii serikali ya awamu ya tano.

Niiteni wakala wa mabeberu lakini huo ndo ukweli ningekua na uwezo ningepita magoti mbele ya bunge la umoja wa Ulaya EU na kuwashukuru jinsi wanavyofanya na kutetea demokrasia.

Allah wabariki wazungu wote haswa jumuiya ya EU.

Tena naomba kabisa niwaambie kuchagua kusimama na EU ni kusimama na haki, uhuru, maendeleo na mwanga wa haki wakati kusimama na Mataga na awamu ya tano ni kusimama na giza, utekaji,umaskini, na dhulma. Siwezi kusimamia ujinga kama huo nitasimama na EU maana ndo fungu jema.

Tena cha mwisho zaidi nawaomba wasicheleweshe vikwazo, waweke viwe vikali ili tuwe na akili ya kuamka na kukataa udikteta maana Watz tumelala sana!
Well said mkuu
 
Back
Top Bottom