Recent content by Maseleka

  1. M

    Asante M-PESA kwa gawio

    Kwani vigezo vyake vipoje? Maana mm natumia sana M-Pesa kwenye miamala lkn nashangaa nimepewa 150
  2. M

    Namkubali sana Muigizaji Mwijaku, ila kwa haya aliyoyasema nitamkatalia hadi pumzi yangu ya mwisho duniani

    Hamna Binadamu asie na kasoro,labda mwenzetu kaoa malaika labda [emoji848]
  3. M

    Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Dah aisee nilikulaga mrembo mmoja wa kinyaturu kimasihara sana, alinichuku tu ktk story akaniomba nimtafutie dawa ya kupunguza tumbo bila ajizi nikamwambia umepata jioni nakuletea, Mzee mzima nikachukua nyagi kubwa maana ndio yalikuwa mambo yangu, jioni demu kaibuka magetoni nkamjazia glass bila...
  4. M

    TISS (Usalama Wa Taifa): The best National Intelligence Ever!

    Umejuaje mkuu kama hawajuani, hizi habari amekwambia nani? Kaskia kwenye mastori ya town
  5. M

    Siku nilipoegemea mlango wa Gereza

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dah
  6. M

    Maisha ya familia kwenye chumba kimoja yanawezekena

    Kama wahindi vile wao wanatafuta watoto asubuhi wengine wakiwa wameenda dukani [emoji28][emoji28]
  7. M

    Van Dame(Sinza), Yesu (Mbeya) kati ya Wababe waliowahi tikisa Tanzania

    Damme kamuonea sana Papii Kocha aliwahi mpora raba kali ya Kulia tu ya kushoto akamuachia hata lile jicho kipande la Papii ni madhara ya Damme yale
  8. M

    House4Rent Karibu upate nyumba ya kupanga Mwanza

    Yes hapo mbele kuna ghorofa flani lina frame na upande wa pili pia kuna frame upande wa lena bar ndio maeneo hayo naulizia
  9. M

    House4Rent Karibu upate nyumba ya kupanga Mwanza

    Thaqaafa si ipo barabara ya unguja sasa barabara ya airport ipi tena?
  10. M

    House4Rent Karibu upate nyumba ya kupanga Mwanza

    Maeneo ya Thaqaafa pale naweza pata frame na kwa bei gani?
Back
Top Bottom