CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,786
- 15,732
Kama alidisco MZUMBE sio kwamba hana uwezo... nasisitiza sio kwamba hana uwezo kichwani.. MZUMBE KUNA NAMNA ILIVYO PALE.. Kinachowaondoa watu wengi pale ni ile system yao ya kipekee.. ACCUMULATION YA SUPP.. yaan sup za semester I zinajumuishwa na zile za Semester II zikifika 4 umedisco.. vivo hivyo kama ulikuwa na CARRY ukashindwa chomoa then ukapata SUPP wanajumuisha UNADISCO..Hahaha basi alikua anajitapa tapa ooh Udsm Udsm mara wasomi sijui nini maneno mengi sana
Wabadili ule mfumo waendane na wenzao UDSM nadhani watapata matokeo chanya