mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,513
cha ajabu nini mkuu,mbona hata waalimu wengine hawajuani.Huwezi wajua wotee...!!Yani Hilo sahau....
cha ajabu nini mkuu,mbona hata waalimu wengine hawajuani.Huwezi wajua wotee...!!Yani Hilo sahau....
atakuja na porojo za uwongo. hajui lolote kukusu TISS yule jamaa.Ngoja GENTAMYCINE aje hapa akudadavulie kwa undani zaidi juu ya hayo mambo.
Yani mfanye kazi ofisi moja na msijuane???cha ajabu nini mkuu,mbona hata waalimu wengine hawajuani.



Unawajua wote.. na wote lazima mpeleke taarifa ofisini.. ambao huwajui tunaita informers... Lkn watumishi wengine huenda job kama ofisi zingine.. Kila asubuhi kuna kikao cha mkakati au kuelezea kile kilichojiri jana...Huwezi wajua wotee...!!Yani Hilo sahau....
atakuja na porojo za uwongo. hajui lolote kukusu TISS yule jamaa.




double agent wa TARWA ni mbobezi wa masuala ya intelligence.Uko sahihi mkuu, japo kwenye kujuana hapo si wote, Kuna vitengo nyeti Sana unapewa kazi, lakini Kuna mtu anakuchunguza humjui, zipo scenario kadhaa but siwezi zitolea maelezo hapa maana najua wahusika wapo humuUnawajua wote.. na wote lazima mpeleke taarifa ofisini.. ambao huwajui tunaita informers... Lkn watumishi wengine huenda job kama ofisi zingine.. Kila asubuhi kuna kikao cha mkakati au kuelezea kile kilichojiri jana...
Kuna zamu ya kulinda ofisi kila siku mnakabidhiana ofisi nk...
WANAJUANA, WANAJUANA.
Aje atiririke na kuserereka kwa mbwembwe kama watani zake wa kageraNgoja GENTAMYCINE aje hapa akudadavulie kwa undani zaidi juu ya hayo mambo.
Lakn sio wale wa ofisi moja afu usimjue... sio kweli.. nasisitiza sio kweli.. TISS katika mikoani huwa na RSO na DSO.. hizi ofisi ndio wanaweza wasijuane.. lakn wale waliochini ya ofisi ya RSO wanajuana vyema.. na wale waliochini ya DSO wanajuana vyema tu... Ni kweli unaweza chunguzwa lkn kwa ishu maalumu.. so uongo kudhania wenyewe wako pale kuchunguzana badala ya kutafuta taarifa mitaani za kiusalama..Uko sahihi mkuu, japo kwenye kujuana hapo si wote, Kuna vitengo nyeti Sana unapewa kazi, lakini Kuna mtu anakuchunguza humjui, zipo scenario kadhaa but siwezi zitolea maelezo hapa maana najua wahusika wapo humu
Sahau hilo mzee baba..!! Yani unaweza kuwa usalama na akatumwa usalama mwingine aje kukuchunguza kutoka ofisi hiyo hiyoo...Unawajua wote.. na wote lazima mpeleke taarifa ofisini.. ambao huwajui tunaita informers... Lkn watumishi wengine huenda job kama ofisi zingine.. Kila asubuhi kuna kikao cha mkakati au kuelezea kile kilichojiri jana...
Kuna zamu ya kulinda ofisi kila siku mnakabidhiana ofisi nk...
WANAJUANA, WANAJUANA.




Haya mambo achaa kijaanUkiona usalama ameweza kuchunguzwa basi hajaiva huyo.. lkn pia unafundishwa namna ya kugundua kama unafuatiliwa au la.. na lazima utumie hiyo knowledge ili kujilinda.. ss ukiona hivyo huyo nae ni boya tuSahau hilo mzee baba..!! Yani unaweza kuwa usalama na akatumwa usalama mwingine aje kukuchunguza kutoka ofisi hiyo hiyoo...Haya mambo achaa kijaan
Haya kijana...!!Ukiona usalama ameweza kuchunguzwa basi hajaiva huyo.. lkn pia unafundishwa namna ya kugundua kama unafuatiliwa au la.. na lazima utumie hiyo knowledge ili kujilinda.. ss ukiona hivyo huyo nae ni boya tu
TISS hawana faida kwa maslahi ya taifa ni bora ingefutwa kuliko kumaliza bure hala za walipa kodi
Uko sahihi mkuu, japo kwenye kujuana hapo si wote, Kuna vitengo nyeti Sana unapewa kazi, lakini Kuna mtu anakuchunguza humjui, zipo scenario kadhaa but siwezi zitolea maelezo hapa maana najua wahusika wapo humu
"Kumbuka hata wao wenyewe hawajuani isipokuwa pale inapowabidi"