Recent content by Masegense

  1. M

    Kikokotoo turufu ngumu kwa CCM na Serikali yake

    Binafsi huwa nashindwa kuelewa hiki kikokotoo kilipitishwa vipi! mbona hata kwa akili ya kawaida tu mapungufu yake yanaonekana! Shida serikali ya Tanzania mara nyingi tu huwa inatengeneza matatizo yenyewe halafu na kuyatatua ili kujipatia sifa. Ipo siku Mhe Rais atatangaza kufuta kikokotoo hiki...
  2. M

    Je unahitaji vifaa vya Magari ya Ki Japan?

    Mkuu naomba kujua kama una stearing rake ya Toyota Runx na bei yake.
  3. M

    Simba imsajili yule Lookman wa Nigeria na Gilberto wa Angola

    Wazo zuri. Afcon imeibua wachezaji wengi wazuri sana mfano nchi kama Cape verde na Mauritania kuna watu wanaotufaa huko. Tatizo ni umasikini wa club zetu, upigaji na kuingiza siasa kwenye mpira. Tunashindwaje kuwa na mchezaji kiungo kama Mokoena au beki namba mbili Mudau!
  4. M

    Wengine huiona "pleasure" katika kutembea na wake za watu

    Huwa kuna nini mkuu! Funguka watu wajue madhara yake huwenda ukasaidia na kuwaokoa watu wengi sana.
  5. M

    Wengine huiona "pleasure" katika kutembea na wake za watu

    Naunga mkono hoja, mke wa mtu ni mtamu sana hasa pale unapokuwa unamnyandua huku unawaza kuna mjinga unammegea hahaha, ila usiombe kufumaniwa aisee utaiona dunia chungu hahaha
  6. M

    Athari ya kuingiza Machawa kwenye timu yetu ya taifa

    Dah ila watanzania hatupo serious kabisa, yaani sisi kila kila kitu ni mzaha na comedy tu. Ndio nini hiki sasa! Ina maana viongozi wetu wanaona hii ndio Hamasa kwa timu ya taifa! Aisee inauma sana tunapokosa weledi kwenye mambo ya msingi. Ngoja nikae kimya labda viongozi wetu watajifunza wakati...
  7. M

    FT: Tanzania 1-1 Zambia | AFCON 2024| Laurent Pokou Stadium | 21.01.2024

    Watu wako pungufu sasa wanatufungaje! Hii ni aibu aisee ndo maana wakenya walikuwa wanatucheka
  8. M

    Mabango yote kwenye jezi Mo analipa mil 400

    Binadamu hatuna wema kabisa, unakumbuka msimu huu mo alitangaza kwamba ametoa billion 3 kwa ajili ya kusaidia usajiri? sasa mbona hamkujitokeza kupinga kwa nini ametoa?
  9. M

    Mtihani kweli kweli, dah SIMBA SC

    Phiri, Baleke, Ntibazonkiza, Babacar, Ngoma, Chama, na Miquison hawa wote hawana viwango vya kuitumikia simba. Hawana tena soka la ushindani.
  10. M

    Mtihani kweli kweli, dah SIMBA SC

    Hamna kitu kwa huyo sarr. Kwa lugha rahisi tunaweza kusema kwa babarosa tumepigwa na kitu kizito.
  11. M

    Mtihani kweli kweli, dah SIMBA SC

    Simba inahitaji reform kubwa sana kuanzia uongozi hadi wachezaji wao. Wakiendelea kuchukulia poa na kuendelea kucheza wanavyocheza msimu huu kwenye NBC premiere league hawapati hata nafasi ya tau.
  12. M

    FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

    Wachezaji wa simba sijui huwa wana matatizo gani! Yaani karibu kila mechi wamelegea kinoma wanadondoka hovyo!
  13. M

    Kanuni za TFF zinasemaje endapo timu yoyote itamsajili mchezaji mwenye tuhuma za makosa ya jinai?

    Hivi huko alikokuwa anacheza Us monastery nadhani ni Tunisia hawana ushirikiano na interpol!
  14. M

    Sadio Mane amejenga uwanja kijijini kwao. Utopolo na makolo wanashindwa nini kuwa na viwanja?

    Hilo ni wazo zuri mkuu, ila kwa siasa za simba na yanga hicho kitu hakiwezekani.
Back
Top Bottom