Recent content by Masegense

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kiinua mgongo cha 40M kwa usawa huu kweliii?

    Yaani unanunua harrier tako la nyani moja tu na pesa inakuwa imeisha!
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nisome diploma ipi kwa ufaulu huu

    Kapige diploma ya electrical engineering hapo DIT au MUST hutojutia
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mchungaji peter Msigwa mkimpokea CHADEMA mtakua watu wa ajabu

    Wanasemaga kwenye siasa hakuna adui wa kudumu wala hakuna rafiki wa kudumu.
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke aliyechomwa kwa kuchora Tatoo ya Rais Ruto afariki

    Duh ila siasa basi tu
  5. M

    JamiiForums Tanzania Siri imefichuka Yanga anafanyiwa hujuma ili kusudi Simba achukue ubingwa angalau mzani ubalance

    Hujuma gani! Hivi kuna timu inabebwa na waamuzi na hata bodi ya ligi kama yanga?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mkoba uliobeba karatasi za bajeti ya Afya ya mwaka ni Tsh. 13 million, mikoba miwili ni sawa na Tsh 26 million

    Hivi kweli watanzania tumefikia hatua ya kujadili mkoba wa mtu! Ndugu zangu watanzania tuacheni chuki ni vema kukajikita kuibua hoja zenye mashiko ili taifa letu lisonge mbele.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ni Timu gani ya Taifa utakuwa unaishabikia katika Kombe la Dunia 2026?

    France🇫🇷
  8. M

    JamiiForums Tanzania Ndugu yako akisoma hizo course jitahidi kumuandalia bodaboda kama backup

    Kuna mdogo wetu mwaka jana nilimshauri akasome electrical engineering akakuabali lakini akaja kaka yetu mkubwa akamshari akasome biotechnology hapo DIT akakubali na akapuuza ushauri wangu. Kwa sasa yupo mwaka wa kwanza anasoma biotechnology engineering hapo DIT sasa namsubiri amalize halafu ndo...
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wazee wetu mikoa ya kusini (LINDI/MTWARA) Achaneni na hayo mambo sio mazuri, munatunyima raha sisi vijana wenu

    Duh kwa hiyo ulikuwa unaiangalia tu
  10. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna faida gani kuzaa watoto hapa duniani? Mimi naona hakuna faida, ni kuletana kwenye shida na matatizo, pia kujiongezea majukumu tu

    Mkuu una hoja nzito Mkuu una hoja nzito sana. Ila nilichogundua unafikiria sana
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini Netanyahu anaendelea kutambea mitaani lakini viongozi wa Iran wanajificha sana tofauti na wanavyoongea mbele ya maiki hawaogopi kufa ?

    Hivi si ndo mlisema amekufa na ile inayoonekana ni video zake zilizotengenezwa na AI.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Ukifuatilia taarifa kutoka vyanzo mbalimbali vya habari ndani ya Israel na Iran kiukweli wote wana hali mbaya japo hali ni mbaya zaidi kwa upande wa Iran. Binafsi nawapongeza Iran kwa kukataa unyonge maana haiwezekani mtu atoke huko aje nyumbani kwako akuzabe makofi mbele ya mke na watoto wako...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Iran wanashindwa nini kulipiza kisasi kwa kumuua Netanyau?

    Mkuu Iran sio wanyonge wanamtafuta ila hajaingia tu kwenye 18 zao. Kama utakumbuka katikati ya wiki hii zilisambaa tetesi kwamba Netanyahu ameliwa kichwa kumbe walimkosa.
Back
Top Bottom