Ukifuatilia taarifa kutoka vyanzo mbalimbali vya habari ndani ya Israel na Iran kiukweli wote wana hali mbaya japo hali ni mbaya zaidi kwa upande wa Iran. Binafsi nawapongeza Iran kwa kukataa unyonge maana haiwezekani mtu atoke huko aje nyumbani kwako akuzabe makofi mbele ya mke na watoto wako...
Mkuu Iran sio wanyonge wanamtafuta ila hajaingia tu kwenye 18 zao. Kama utakumbuka katikati ya wiki hii zilisambaa tetesi kwamba Netanyahu ameliwa kichwa kumbe walimkosa.
Mkuu acha kabisa kushabikia mauaji ya binadamu wasiokuwa na hatia kabisa haijalishi ni wa America, wa Israel au wa Iran. Uhai wa binadamu una thamani isiyothaminishwa na kitu chochote.
Duh mwamba amewatafuna kinoma ila sio poa amewadharirisha sana na kuwapa majeraha ya kibinadamu maana kwa wale wake za watu ndoa zao lazima zivunjike. Nitashangaa sana huyo mzungu asipo kemewa kwa tabia yake ya kishenzi iliyokosa utu. Pia hili ni funzo kwa dada zetu kujiheshimu na kutoendekeza njaa.
Mimi wakati naanza maisha nilibahatika kupanga chumba na sebule huko maeneo ya rombo mkuu na pembeni ya chumba hicho kulikuwa na nyumba kubwa ambayo alikuwa akiishi mwenye nyumba na familia yake. Kwa kipindi cha miezi sita nilipokuwa hapo Nilianzisha uhusiano na binti mrembo sana wa mwenye...
Duh nimekumbuka miaka ya nyuma niliwahi kufanya kazi kwenye kampuni la kuchakata samaki linaitwa Alpha lipo maeneo ya kipawa. Kuna kazi za kikuda pale unabeba matofari ya barafu hadi unahisi mikono sio yako halafu jioni unakula 4,200 ila haya maisha basi tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.