Hivi kweli watanzania tumefikia hatua ya kujadili mkoba wa mtu! Ndugu zangu watanzania tuacheni chuki ni vema kukajikita kuibua hoja zenye mashiko ili taifa letu lisonge mbele.
Kuna mdogo wetu mwaka jana nilimshauri akasome electrical engineering akakuabali lakini akaja kaka yetu mkubwa akamshari akasome biotechnology hapo DIT akakubali na akapuuza ushauri wangu. Kwa sasa yupo mwaka wa kwanza anasoma biotechnology engineering hapo DIT sasa namsubiri amalize halafu ndo...
Ukifuatilia taarifa kutoka vyanzo mbalimbali vya habari ndani ya Israel na Iran kiukweli wote wana hali mbaya japo hali ni mbaya zaidi kwa upande wa Iran. Binafsi nawapongeza Iran kwa kukataa unyonge maana haiwezekani mtu atoke huko aje nyumbani kwako akuzabe makofi mbele ya mke na watoto wako...
Mkuu Iran sio wanyonge wanamtafuta ila hajaingia tu kwenye 18 zao. Kama utakumbuka katikati ya wiki hii zilisambaa tetesi kwamba Netanyahu ameliwa kichwa kumbe walimkosa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.