Recent content by Masegense

  1. M

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Ukifuatilia taarifa kutoka vyanzo mbalimbali vya habari ndani ya Israel na Iran kiukweli wote wana hali mbaya japo hali ni mbaya zaidi kwa upande wa Iran. Binafsi nawapongeza Iran kwa kukataa unyonge maana haiwezekani mtu atoke huko aje nyumbani kwako akuzabe makofi mbele ya mke na watoto wako...
  2. M

    Iran wanashindwa nini kulipiza kisasi kwa kumuua Netanyau?

    Mkuu Iran sio wanyonge wanamtafuta ila hajaingia tu kwenye 18 zao. Kama utakumbuka katikati ya wiki hii zilisambaa tetesi kwamba Netanyahu ameliwa kichwa kumbe walimkosa.
  3. M

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Mkuu acha kabisa kushabikia mauaji ya binadamu wasiokuwa na hatia kabisa haijalishi ni wa America, wa Israel au wa Iran. Uhai wa binadamu una thamani isiyothaminishwa na kitu chochote.
  4. M

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Duh vita sio kitu kizuri kabisa na wala sio kitu cha kukishabikia
  5. M

    Iran Imethibitisha Kuwa Kiongozi Mkuu, Ayatollah Ali Khomeini ameuawa

    Hii sasa dharau mtu anatoka mbali huko anakuja nyumbani kwako kukuchapa makofi mbele ya watoto na mke wako poleni sana iran
  6. M

    Sababu za Marekani kutaka Vita na IRAN

    Mkuu kwa marekani hata haka kajamaa wakiamua kukapiga wanakapiga mapema tu
  7. M

    Mrusi arekodi kwa siri wanawake Kenya akiwatongoza na kumkubali mara moja. Wengine ni wake za watu

    Duh mwamba amewatafuna kinoma ila sio poa amewadharirisha sana na kuwapa majeraha ya kibinadamu maana kwa wale wake za watu ndoa zao lazima zivunjike. Nitashangaa sana huyo mzungu asipo kemewa kwa tabia yake ya kishenzi iliyokosa utu. Pia hili ni funzo kwa dada zetu kujiheshimu na kutoendekeza njaa.
  8. M

    Ulikutana wapi na mwenza wako kwa mara ya kwanza?

    Mimi wakati naanza maisha nilibahatika kupanga chumba na sebule huko maeneo ya rombo mkuu na pembeni ya chumba hicho kulikuwa na nyumba kubwa ambayo alikuwa akiishi mwenye nyumba na familia yake. Kwa kipindi cha miezi sita nilipokuwa hapo Nilianzisha uhusiano na binti mrembo sana wa mwenye...
  9. M

    Matokeo ya Kidato cha Nne 2025 yanatoka lini?

    Vita subira wiki ijayo yatatangazwa ila siku sijui
  10. M

    Kazi za viwandani sio kazi, ni zaidi ya mateso

    Duh nimekumbuka miaka ya nyuma niliwahi kufanya kazi kwenye kampuni la kuchakata samaki linaitwa Alpha lipo maeneo ya kipawa. Kuna kazi za kikuda pale unabeba matofari ya barafu hadi unahisi mikono sio yako halafu jioni unakula 4,200 ila haya maisha basi tu.
  11. M

    Simba SC inatia hasira na fedhea sanaa

    Sio utani Simba inakufa taratibu huku tunaiona. Hakutakuwa na timu tena pale
Back
Top Bottom