Recent content by Masegense

  1. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Taratibu za kupata Samia Scholarship zipoje? Iweje nipate division ya 1.5 nikose na wenye 1.9 wapate?

    Dogo hongera umepambana. Naomba nikutie moyo huwenda haikuwa bahati yako. Omba mkopo bodi ya mkopo lazima utapata then endelea na masomo yako utatoboa tu.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Ngapi huko
  3. M

    JamiiForums Tanzania Vijana tujiheshimu, tuheshimu nyumba za watu ukitaka uhuru kajenge kwako

    Mi sioni kosa la huyo kijana. Huyo bibi anaonyesha ni mkorofi tu
  4. M

    JamiiForums Tanzania Huyu dada ajengewe sanamu lake

    Baba levo yupo vizuri sana
  5. M

    JamiiForums Tanzania Iran Yatangaza Maofisa Wake Wawili Kuuawa na Mashambulizi ya Israel

    Sasa Iran kwanini alienda kuwachokoza watu ambao hawanaga shoo mbovu
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kiinua mgongo cha 40M kwa usawa huu kweliii?

    Yaani unanunua harrier tako la nyani moja tu na pesa inakuwa imeisha!
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nisome diploma ipi kwa ufaulu huu

    Kapige diploma ya electrical engineering hapo DIT au MUST hutojutia
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mchungaji peter Msigwa mkimpokea CHADEMA mtakua watu wa ajabu

    Wanasemaga kwenye siasa hakuna adui wa kudumu wala hakuna rafiki wa kudumu.
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke aliyechomwa kwa kuchora Tatoo ya Rais Ruto afariki

    Duh ila siasa basi tu
  10. M

    JamiiForums Tanzania Siri imefichuka Yanga anafanyiwa hujuma ili kusudi Simba achukue ubingwa angalau mzani ubalance

    Hujuma gani! Hivi kuna timu inabebwa na waamuzi na hata bodi ya ligi kama yanga?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mkoba uliobeba karatasi za bajeti ya Afya ya mwaka ni Tsh. 13 million, mikoba miwili ni sawa na Tsh 26 million

    Hivi kweli watanzania tumefikia hatua ya kujadili mkoba wa mtu! Ndugu zangu watanzania tuacheni chuki ni vema kukajikita kuibua hoja zenye mashiko ili taifa letu lisonge mbele.
Back
Top Bottom