Binafsi huwa nashindwa kuelewa hiki kikokotoo kilipitishwa vipi! mbona hata kwa akili ya kawaida tu mapungufu yake yanaonekana! Shida serikali ya Tanzania mara nyingi tu huwa inatengeneza matatizo yenyewe halafu na kuyatatua ili kujipatia sifa. Ipo siku Mhe Rais atatangaza kufuta kikokotoo hiki...
Wazo zuri. Afcon imeibua wachezaji wengi wazuri sana mfano nchi kama Cape verde na Mauritania kuna watu wanaotufaa huko. Tatizo ni umasikini wa club zetu, upigaji na kuingiza siasa kwenye mpira. Tunashindwaje kuwa na mchezaji kiungo kama Mokoena au beki namba mbili Mudau!
Naunga mkono hoja, mke wa mtu ni mtamu sana hasa pale unapokuwa unamnyandua huku unawaza kuna mjinga unammegea hahaha, ila usiombe kufumaniwa aisee utaiona dunia chungu hahaha
Dah ila watanzania hatupo serious kabisa, yaani sisi kila kila kitu ni mzaha na comedy tu. Ndio nini hiki sasa! Ina maana viongozi wetu wanaona hii ndio Hamasa kwa timu ya taifa! Aisee inauma sana tunapokosa weledi kwenye mambo ya msingi. Ngoja nikae kimya labda viongozi wetu watajifunza wakati...
Binadamu hatuna wema kabisa, unakumbuka msimu huu mo alitangaza kwamba ametoa billion 3 kwa ajili ya kusaidia usajiri? sasa mbona hamkujitokeza kupinga kwa nini ametoa?
Simba inahitaji reform kubwa sana kuanzia uongozi hadi wachezaji wao. Wakiendelea kuchukulia poa na kuendelea kucheza wanavyocheza msimu huu kwenye NBC premiere league hawapati hata nafasi ya tau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.