nakupongeza makombeni10 ila hebu nisaidie wamevinunua wp kwa haraka namna hiyo na je mm najiuliza je kuna wodi ilikuwa haina vitanda? Maana mm najua wagonjwa wanalala kwenye zile sehem za kupitia na sio mahal ambapo kitanda hamna
Wakuu jana nimeona taarifa ambazo ziliniacha na bumbuazi kuhusu kitanda maalum cha kuzalishia watoto eti bei yake ni milioni 2 .5 nimejiuliza ni kitanda cha namna gani cjaelewa. Hebu wenye taarifa zaidi wanijuze maana naona kama wanacheza sarakas kwani badala waongeze majengo wao wanaongeza...
Habari wanajukwaa kumekuwa na taarifa kuwa tanesko wameambiwa wawe wanazma umeme ili wananchi wacjue nn kinaendelea nchini hasa wakati huu waungwana wanapohama ccm kwenda ukawa mm kwa maoni yangu kama jambo hili ni kweli bc ccm wameishiwa ujanja kwn hawajui wa2 wanafuatilia habari hata kwa cm...
Acha unafiki mda wote ulikuwa wp umesubiri ameenda cdm ndo unaleta ujinga wako tangu 2o10 hadi leo umekumbuka nn na ccm harud ng'o na hata angelipwa na nani cc hatujui kura tunampa upende ucpende tena naona kama masanduku yanachelewa vile
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.