Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
haha..yaani yeye achagua njia ngumu na mbaya halafu sisi tum support?Tukimwambia achukue njia rahisi ili nasi iwe rahisi kumpa ushirikiano hataki?Watz sasa muache jilisha upuuzi.Tunahitaji kumpa sapoti kubwa Rais na si kupinha kila kitu bwana, isitoshe Rais kufanya maamuzi magumu anajenga maadui wengi sana wananchi tumpe sapoti kubwa