Natafuta mume

Natafuta mume

Washamba ni wengi sana unaweza kwenda shule na bado ujinga usikutoke ujinga hauna dawa ?? Mke ni hekma busara subira udilifu sio elimu

Mkuu,
Minaona jf ya sasa imejaa vitoto tupu, vinashinda vina hara tu humu kwenye majukwaa aiseee....
 
Hapana, hakuna tatizo comment yako.
Kuna shida aliekejeli kuhuliza elimu.
Mtu akiona hana vigezo anatoa comments ofyo
 
unaweza kufikiria upya hicho kigezo cha umri?yaani chini ya hapo?
 
ila ww wenzako cku hizi hawaangalii umri wanaangalia pesa
 
hivi umeelewa uzi vizuri? anatafuta mume na si kazi

Jamani Mimi nikiwa na Stress tu nakimbilia Kusoma humu nii full raha...jamani..basi tuwe waelewa wenzetu wanataka ninii..tusikimbiliee kucoment tu
 
Mimi ni mwanamke, nina mtoto mmoja i am 32, nilitengana na mume kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu nimeamua kutumia jf kutafuta mwenza maana walio mtaani ndo hawa hawa walio JF aliye tayari please njoo pm tuzungumze.

Kama hauna la maana pita tu. Mwanaume ninayemtaka awe kuanzia 34-45.

Nitashukuru kama matusi na kejeli havitajitokeza hapa.
nakushauri kupeleka maombi haya kwenye nyumba za Ibada kama vile misikitini na makanisani, yapeleke kupitia kwa viongozi w nyumba hizo. kwanza wao watakushauri mambo mema na mazuri namwinshowe kabisa wanaweza kukutafutia mtu unayeendana na naye. Huku dadangu hawana tofauti na yule mlioaachana, na wanaweza kuwa ovyo kuliko uliyemuacha.Fanya maombi ya kutosha ili Mungu akuongoze uweze kupata Mume bora na mcha mungu.
 
nakushauri kupeleka maombi haya kwenye nyumba za Ibada kama vile misikitini na makanisani, yapeleke kupitia kwa viongozi w nyumba hizo. kwanza wao watakushauri mambo mema na mazuri namwinshowe kabisa wanaweza kukutafutia mtu unayeendana na naye. Huku dadangu hawana tofauti na yule mlioaachana, na wanaweza kuwa ovyo kuliko uliyemuacha.Fanya maombi ya kutosha ili Mungu akuongoze uweze kupata Mume bora na mcha mungu.

...kwa research gani ulioifanya hadi unakuja na conclusion ya hovyo kiasi hiki?
 
nakushauri kupeleka maombi haya kwenye nyumba za Ibada kama vile misikitini na makanisani, yapeleke kupitia kwa viongozi w nyumba hizo. kwanza wao watakushauri mambo mema na mazuri namwinshowe kabisa wanaweza kukutafutia mtu unayeendana na naye. Huku dadangu hawana tofauti na yule mlioaachana, na wanaweza kuwa ovyo kuliko uliyemuacha.Fanya maombi ya kutosha ili Mungu akuongoze uweze kupata Mume bora na mcha mungu.

Inaonekana umeshafanya research ya kutosha na member wote humu unatujua mkuu
 
nakushauri kupeleka maombi haya kwenye nyumba za Ibada kama vile misikitini na makanisani, yapeleke kupitia kwa viongozi w nyumba hizo. kwanza wao watakushauri mambo mema na mazuri namwinshowe kabisa wanaweza kukutafutia mtu unayeendana na naye. Huku dadangu hawana tofauti na yule mlioaachana, na wanaweza kuwa ovyo kuliko uliyemuacha.Fanya maombi ya kutosha ili Mungu akuongoze uweze kupata Mume bora na mcha mungu.

Acha kutuharibia wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom