Recent content by Masanva Aya

  1. Masanva Aya

    Kufukia Bendera ya Taifa Pamoja na jeneza la Gen Z kaburini ni Ishara mbaya Sana kwa Taifa husika!

    Kwani mwinguru hata zikwa na tai ya bendera ya Nchi yenu? Hiyo tai na rangi zote hizo imesaidia nini mwenye uchumi wa Nchi?.... Au atazikwa na ya Burundi?.
  2. Masanva Aya

    Mgawo mkali wa umeme na maji unaoendelea nchini ni wazi kabisa watendaji wa Serikali mnaihujumu Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan

    Nguvu yake ya kulikomboa Taifa hili upo wapi, hadi ahujumiwe? Ujue hatimizi majukumu yake au hakubaliki.
  3. Masanva Aya

    CCM yawaonya wanaochezea mali za chama

    Toka lini Chama kikawa juu ya Nchi? Yaani Ccm hawasemi miaka yote hiyo ripoti za Mkaguzi Mkuu wa Hesabu miaka yote hiyo, na hakuna hatua zaidi za kiini macho kipindi cha mlima nanasi wa Msoga? Wakubwa wa maccm je? Hao hawaiibii Nchi?
  4. Masanva Aya

    Kamati Kuu ya CHADEMA yakutana Dar es Salaam

    Unajua kusoma lakini? wapi hapo nimeandika "nawaamini wakoloni weusi ccm?".
  5. Masanva Aya

    Kamati Kuu ya CHADEMA yakutana Dar es Salaam

    CHADEMA sitawaamini tena ikiwa, watapeleka wabunge viti maalumu au kutowafukuzia mbali wasaliti wote sio tu hao 19. Watakuwa wamelitendea haki taifa, kwa kuzungumza Masula ya Taifa kuliko kutumia mda mwingi kwenye mkutano huo kujadili watu.
  6. Masanva Aya

    Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Uhujumu Uchumi na Rushwa - 28/09/2021

    Ninayo hofu ya mwisho wa kesi hii, nafsi inaniambia mwisho wake si haki ingawa jaji anaonekana kuwa poa.
  7. Masanva Aya

    Historia tunayofundishwa Watanzania ina makosa makubwa

    Hiyo ni kwa sababu kila kiongozi anataka kuacha historia yake binafsi. Mfano hai , kila waziri akiingia kwenye wizara anafanya mambo yake kama yeye, hivyo hivyo kwa Rais ndo maana nchi haiendi, hakuna malengo ya baadae kama Taifa ila kuna utawala kwenye Taifa. Mfano wizara ya elimu, aisee...
  8. Masanva Aya

    Nani anafaa kuwa Mrithi wa IGP Simon Sirro?

    Jeje .... Au mwana ukoo mmoja hivi ili asiwe mbishi kwa bwana mkubwa.
  9. Masanva Aya

    Dkt. Bashiru Ally, Mjamaa aliyeshindwa kutuonesha ujamaa kwenye Uchaguzi

    Hata yule (mzee kijana kwa sura) kipindi kile ziko timamu hajanywa maji ya rangi ya kijani, alisema. "Uchaguzi ukiwa huru na wa haki ccm ijiandae kukabidhi ikulu" Aliamini hivyo na ndiyo ilivyo hata leo ,ila njaaa , njaaa njaaa, ni ya kuisikia tu kwa mwenzio. Sio kila aokotae chakula ni kichaa...
  10. Masanva Aya

    Ulaya na Marekani wakibana, hata miradi kama SGR na Ujenzi wa Bwala la Umeme vyote vitakwama

    Hata komandoo ana mipaka. Kiboko ni njaa , hata kama una kiburi vipi, ukiwa na njaa siku kadhaa, lazima ukomando ukome. Eti hawapangiwi mambo, safari hii ndo watapangiwa pamoja na ukichaa wao. Hivi inakuwaje ukashinda, ukafrahi, ukawakomesha wale, kisha ukawa huna furaha, una hofu, aibu...
  11. Masanva Aya

    Niko tayari kuwa shujaa wa keyboard kuiondoa CCM; nitaonekana shujaa kwa kizazi changu kuliko kuiona CCM ikitawala bila kupingwa

    Amejitahidi bila mafanikio kuwabatiza kwa moto kichwani wapinzani kwa 5 iliyopita, kaona kumbe upinzani bado upo mioyoni mwao waja wake aliye juu ya vyote ... kaamua kufanya aliyoyafanya. sasa ccm wajiandae wao kwa wao atawatumbukiza kwenye bwawa la moto. Mda utaongeza .
  12. Masanva Aya

    Habari Mbaya: Mkurugenzi wa Meatu achomewa nyumba yake, yote yateketea

    Na ccm wanapenda kujiona bingwa hata kama hawajaenda haki! Upinzani inaonekana kama uadui, nchi zinazojitambua zinajari mawazo ya upande ambao si wao, bongo ni kukomoana, hivyo ni ccm inajenga uadui . Maana yake adui yako muombee njaa.
  13. Masanva Aya

    Habari Mbaya: Mkurugenzi wa Meatu achomewa nyumba yake, yote yateketea

    Adhabu zingine zimo kwenye kitendo, hazisubiri. Mwl. Nyerere. 95 Nasisitiza malipo ni hapa hapa duniani.
  14. Masanva Aya

    Tuchague kwa busara, Mbwa watulinde au tuwalinde mbwa?

    Wewe mbona imejibu huu uzi ?
Back
Top Bottom