Kamati Kuu ya CHADEMA yakutana Dar es Salaam

Kamati Kuu ya CHADEMA yakutana Dar es Salaam

Kuna wapumbavu wengi sana nchi hii

Tanzania inapambana na High level of Prices ( Inflation ya hatari sana), Hakuna Chadema wala ccm alietoa suluhisho nchi inatokaje hapa ilipo

Price level ni nafuu watu wa mjini wana kipato lakini huko Kyela mleta uzi ndugu zako hali mbaya, Wanashindwa hata kufua nguo kwa kununua kipande cha komoa au ushindi

Vikao vya ccm Bungeni au Chadema Mlimani City vina manufaa gani kwa Taifa kama hakuna mtu mwenye Suluhu ya haya matatizo

Nawasaidia Chadema mwambieni Mwigulu waongeze Subsidies to Oil importers companies

Vita ya Ukraine kwanza inapamba moto watu ndio wanapeleka vifaru vya kisasa toka Nato, Tegemea bei kupanda zaidi

Huu ndio wakati wa serikali kununua na kujaza mafuta na Gas kwenye maghala yao


Chadema?! Hamna kitu pale mnapoteza muda wenu…hv bado rangi zao hamjazisoma…JPM aliwafunulia zote…use your third eye km bado…

Tusubirie mpasuko mtakatifu wa CCM…ambao naamini yule aliejuu ataruhusu iwe hivyo…maana hiki chama cha mabeberu wanyonya damu za wananchi kimefikia ukingoni…..inatakiwa akili kidogo tu…chali kifo cha Mende…
 
CHADEMA sitawaamini tena ikiwa, watapeleka wabunge viti maalumu au kutowafukuzia mbali wasaliti wote sio tu hao 19.
Watakuwa wamelitendea haki taifa, kwa kuzungumza Masula ya Taifa kuliko kutumia mda mwingi kwenye mkutano huo kujadili watu.
Ninaungana nawe katika swala hilo la "kujadili watu" badala ya maswala muhimu yanayokikabili chama na maswala ya kitaifa, hasa hasa hili la "Katiba Mpya."

Kama swala la kuwajadili akina COVID-19, watu waliokisaliti chama katika wakati mgumu kabisa litakuwa mjadala mrefu, hii itakuwa dalili kwamba huko CHADEMA kuna matatizo makubwa. Maana yake itakuwa kwamba chama hicho bado kina mamluki wengi ambao bado wataendelea kukivuruga.
 
Hiki ni kikao ambacho kimsingi ndimo huandaliwa Ajenda karibu zote za Chama na kuwasilishwa kwenye Baraza Kuu .

Baada ya kamati kuu leo , kesho ajenda hizi zitawasilishwa kwenye Baraza Kuu , ambacho ndio kikao cha Juu zaidi cha Chama .

Baada ya kikao hicho baadhi ya mambo yatafafanuliwa kwa Waandishi wa Habari ili yapelekwe Duniani .
Fukuza Covid 19 wa Ndugai.
 
Back
Top Bottom