Huyu maza amezingua sana. Ameniondolea kabisa mwamko niliokuwa nao kuhusu support ya uongozi wa akina mama.
What a man can do? a woman can do better........... Read that again...
Unasema watoto. Nadhani ungeanza na watu wazima. Maana fikra za watu wazima ndo zimetufikisha hapa na sidhani they have done a good job in thinking!
Overall, kizazi cha sasa kinajitambua kuliko hawa wazee na watu wazima ambao wanawaza tuu kuiba na kujaza matumbo yao at the expense ya walio wengi.
Unajua kuna watu humu mnataka kutuaminisha kwamba 100M inaweza zalisha magic! Hivi kuna nyumba ya 100M unaweza pata rent ya 1M per month? Umeijenga wapi? Inawezekana-Maybe-lakini kwa mbinde sana.
Mkuu kwani mapambano yana njia moja? Kila mtu anapambana kivyake. Au wewe kupambana mpaka mtu akachimbe madini au anunue dala dala? hata kununua vipande vya UTT ni mapambano. Au unadhani hivyo vipande vinagawiwa bure? Mapambano hayawezi kuwa sawa, kila mtu anatafuta mapambano yenye unafuu. Hata...
Fr. yupo sahihi. Jinai haiozi.
Ipo siku wajukuu wa Polepole, Mwangosi nk watauliza haya maswali kwa watawala watakaokuwepo. Inawezeakana mimi na wewe hatutakuwepo. Hata kwenye personal life, uchafu ni uchafu tuu. Lazima muhusika ulipe gharama. ni kanuni ya maisha.
Sijui kwa nini...
Zembea yote lakini siku za uzee wako usiwe omba omba. KIUFUPI UWEZE KUJIMUDU. Uhakikishe una usafiri unaoweza kukupeleka popote (kama siyo humu Tz basi angalau hata hapo Dar au mkoa wowote uliomo), uwe na uwezo wa kumlipa dereva akuendeshe, uwe na uwezo wa kujigharamia matibabu, ikitokea shida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.