Mkuu humu watu wanapenda selective reasoning. CCM wanatumia nguvu kubwa kuifungamanisha vurugu ya 2910 na siasa za chadema. Unfortunately hii kazi imekuwa ngumu sana kwa sababu natural target ni TL ambaye alikuwa gerezani. Huwezi kuitetea ccm ya s100 bila kuonekana juha. Kila mwenye macho...
Nakubaliana na wewe. Watawala watakuwa wamefanya kosa kubwa sana kuifuta chadema. Even God knows. People are tired. Si kwamba watu wanaipenda chadema. Ni kwamba tuu wanakubaliana na hoja zao nyingi. Bahati mbaya, wanasiasa/watawala wengi bado wanaongozwa na siasa za mazoea. Mfumo wa sasa wa...
Kuwa makini mkuu. mwisho wa siku hao watoto ni jukumu lako. Utawatunza wewe. Naamini wewe ni kijana. Jitahidi kupanga mipango mpate watoto/familia utakayoimudu.
Akiamua kutafuta side dish hata kama ungemzalisha watoto watano atachomoka tuu.
Choices have consequences....be careful.
Mkuu watu wenye kipato cha kulipia nyumba kuanzia 1M n kuendelea ni middle class iliyochangamka hiyo.
Hapa bottom line ni location. Ina nafasi kubwa kwenye pricing.
Mkuu Umewaza nini😂😂😂😂😂😂
Unapenda kujiamlia mambo wewe…..
Ila una point. Nyumba ya million 300 ni nadra sana ikupe zaidi ya 1-1.5M. Bila ma overhead na maintenance.
Mkuu Paskali ya UD Achana nayo. Tulikuwa wote kitivo. Wakati unakuja special reserve na miwani yako black na ile pikipiki kubwa….nzengo tulikuwa tunakuzoom tuu.
In all, most of us, know Kabudi kama intelligent man. Lakini kwangu shida kubwa ya wasomi wetu, activism inaishia chuo. Chunguza sana...
Nadhani hukunielewa. Sidhani kama kuna mtu amekuwa critical kwa Shoo, Malasusa, na maaskofu wengine hapa Tz kama Lema. Katika hili la dini na Imani, Lema amenyooka. Jaribu kutafuta clips zake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.