Recent content by Masanja

  1. Masanja

    JamiiForums Tanzania Hayati Magufuli aliwezaje kutatua changamoto ya umeme nchini?

    Kwa kweli access/availability ya umeme imekuwa kero! Kero kubwa sana.
  2. Masanja

    JamiiForums Tanzania Dkt. Emmanuel Nchimbi ndie pekee mwanasiasa mzoefu kitaifa na kimataifa anayeaminika na kukubalika pasina chembe ya shaka ndani na nje ya CCM

    Mpaka leo siamini (kweli kabisa siamini) kwamba kuna mtu mwenye akili timamu anaweza kwenda kwenye box la kura na kuipigia kura CCM (potelea mbali hata kama kura za CCM ni za kutengenezwa na polisi na tume ya S100). Voting for CCM is voting for your suffering and against your own interests.
  3. Masanja

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    For sure ukimlinganisha chadema na wale wa upande wa pili-ni mtakatifu as you say.
  4. Masanja

    JamiiForums Tanzania Inapofikia mahala vyombo vya ulinzi kushiriki "dirty jobs" za kisiasa ndani ya nchi. Ni dalili mbaya kwa Taifa

    Siku ukijikuta upande mwingine wa fence utamuelewa Msanii though it maybe too late. Mitandao haisahau.
  5. Masanja

    JamiiForums Tanzania Member Mohamed Said, sijui wewe ni nani lakini tambua wamekuwepo wengi kama wewe na bado wapo ila tambua udini hata ukipambwa maua unabaki udini

    Mbona CCM ni yenu na mnashinda mitandaoni mkiitetea? Inaanzaje kuwazuia?
  6. Masanja

    JamiiForums Tanzania Member Mohamed Said, sijui wewe ni nani lakini tambua wamekuwepo wengi kama wewe na bado wapo ila tambua udini hata ukipambwa maua unabaki udini

    Nyerere alikufa almost 30 years ago.......sasa kipi kinawazuia waislamu wasiunde bakwata inayoendana na mahitaji yao?
  7. Masanja

    JamiiForums Tanzania Mshahara ukitoka tu nakuwa na wenge na akili haitulii inawaza kwenda tu bar kunywa pombe

    Kwani shida ipo wapi? Si ni pesa yako? Kula vyako, warithi hawana shukrani!
  8. Masanja

    JamiiForums Tanzania Wadada wakikenya hawafai kabisa

    Mwenzetu kama umeoa naamini Umefanya background check na ndoa yako ni perfect 👌
  9. Masanja

    JamiiForums Tanzania Tarehe Mbaya Hizi...

    Mkuu hili swala liangalie kwa mapana yake. Diesel Ndo engine ya uchumi wa taifa. Machine zote za viwandani zinategemea diesel kwenye uzalishaji. Ukipandisha bei ya diesel kiufupi unaumiza uchumi na mwananchi wa kawaida anayetegemea hizo bidhaa za viwandani. Nimeshtuka sana kuona serikali...
  10. Masanja

    JamiiForums Tanzania Tarehe Mbaya Hizi...

    Ndugu zangu tubadilike. Hivi kweli bado kuna mtu dunia ya Leo anaamini kwamba kuwa na gari ni utajiri? Seriously? Aisee ndo maana CCM inatuchukulia powa. Mimi nadhani ni swala la vipaumbele kwenye maisha yetu ya kila siku.
  11. Masanja

    JamiiForums Tanzania Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Gari nyingi za UK Zina adblue. Hii gari niliyo nayo ni ya tatu. Zote nilinunua UK na zote zilikuwa na @Adblue.
  12. Masanja

    JamiiForums Tanzania Sheikh: Una uhuru wa kumuingilia mkeo kwa staili yoyote

    Tukaishi Sudan tuu. Hakuna namna.
  13. Masanja

    JamiiForums Tanzania RC Chalamila: Wanatamani kuleta chokochoko, nguvu tutakayotumia awamu hii kulinda amani, haijawahi kutokea

    Uongozi wa karne hii na kizazi hiki lazima utumie akili zaidi. Ukiwa na viongozi kama Chalamila ni mzigo.
  14. Masanja

    JamiiForums Tanzania Ninachokijua kuhusu Miradi ya DMDP na Ujenzi wa Miundombinu Mkoani Dar

    Naona mbezi beach tulichinjiwa baharini mpaka leo bila bila
  15. Masanja

    JamiiForums Tanzania KERO Je, UTT AMIS kuna kitu kinafichwa bila sisi wanachama kujua?

    Biashara ingekuwa rahisi kama unavyotuaminisha tungekuwa na millionea wengi sana kweye hili taifa letu. Hiyo hiyo UTT kuna wazee wanapiga hela more than 20 years sasa. Wewe endelea kuwaza negative. Kitu kama hukiwezi au hukitaki, usitake kuwafanya wengine wakichukie. In anycase, hakuna...
Back
Top Bottom