Recent content by Masanja

  1. Masanja

    JamiiForums Tanzania Ukistaajabu ya Mussa, utaona ya Firauni

    Kwa maana hii Tz hatuna politician!
  2. Masanja

    JamiiForums Tanzania Ukistaajabu ya Mussa, utaona ya Firauni

    Mkuu humu watu wanapenda selective reasoning. CCM wanatumia nguvu kubwa kuifungamanisha vurugu ya 2910 na siasa za chadema. Unfortunately hii kazi imekuwa ngumu sana kwa sababu natural target ni TL ambaye alikuwa gerezani. Huwezi kuitetea ccm ya s100 bila kuonekana juha. Kila mwenye macho...
  3. Masanja

    JamiiForums Tanzania Siasa zetu za vyama zimefika saturation point kwa CHADEMA

    Nakubaliana na wewe. Watawala watakuwa wamefanya kosa kubwa sana kuifuta chadema. Even God knows. People are tired. Si kwamba watu wanaipenda chadema. Ni kwamba tuu wanakubaliana na hoja zao nyingi. Bahati mbaya, wanasiasa/watawala wengi bado wanaongozwa na siasa za mazoea. Mfumo wa sasa wa...
  4. Masanja

    JamiiForums Tanzania Kwenu wabunge wa Kanda ya Ziwa: Airport ya Mwanza iboreshwe lakini hoja zenu za kikanda zisiwe sababu ya kupinga ujenzi wa uwanja wa Serengeti

    Mpaka leo mimi siwashangai CCM. Nawashangaa watu ambao wanaweza kui take serious CCM. Tena mtu mwenye akili zake timamu.
  5. Masanja

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wa kuishi na mwanamke mfanyakazi/mtumishi

    Kuwa makini mkuu. mwisho wa siku hao watoto ni jukumu lako. Utawatunza wewe. Naamini wewe ni kijana. Jitahidi kupanga mipango mpate watoto/familia utakayoimudu. Akiamua kutafuta side dish hata kama ungemzalisha watoto watano atachomoka tuu. Choices have consequences....be careful.
  6. Masanja

    JamiiForums Tanzania Unajenga nyumba ya milion 300 ili upangishe laki 3, ni akili au matope?

    Mkuu watu wenye kipato cha kulipia nyumba kuanzia 1M n kuendelea ni middle class iliyochangamka hiyo. Hapa bottom line ni location. Ina nafasi kubwa kwenye pricing.
  7. Masanja

    JamiiForums Tanzania Unajenga nyumba ya milion 300 ili upangishe laki 3, ni akili au matope?

    Mkuu Umewaza nini😂😂😂😂😂😂 Unapenda kujiamlia mambo wewe….. Ila una point. Nyumba ya million 300 ni nadra sana ikupe zaidi ya 1-1.5M. Bila ma overhead na maintenance.
  8. Masanja

    JamiiForums Tanzania Kwenu wabunge wa Kanda ya Ziwa: Airport ya Mwanza iboreshwe lakini hoja zenu za kikanda zisiwe sababu ya kupinga ujenzi wa uwanja wa Serengeti

    Serikali yetu tunaijua. Hizo ni porojo. They will never build an international airport Serengeti. Tunawajua hawa jamaa. Too much talking.
  9. Masanja

    JamiiForums Tanzania Educated TZ Immigrants in US in tough Situation

    Shida ya biashara za bongo largely zina connection na wanasiasa. Ndo maana wengi wana enda na upepo. Sasa wewe jichanganye….
  10. Masanja

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Palamagamba Kabudi, kuonja jiwe la moto Norway

    Mkuu Paskali ya UD Achana nayo. Tulikuwa wote kitivo. Wakati unakuja special reserve na miwani yako black na ile pikipiki kubwa….nzengo tulikuwa tunakuzoom tuu. In all, most of us, know Kabudi kama intelligent man. Lakini kwangu shida kubwa ya wasomi wetu, activism inaishia chuo. Chunguza sana...
  11. Masanja

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Askofu Shoo aunga mkono ripoti ya Tume ya Jaji Chande yenye mapungufu makubwa, Godbless Lema mbona hujasema kitu?

    Nadhani hukunielewa. Sidhani kama kuna mtu amekuwa critical kwa Shoo, Malasusa, na maaskofu wengine hapa Tz kama Lema. Katika hili la dini na Imani, Lema amenyooka. Jaribu kutafuta clips zake.
  12. Masanja

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Askofu Shoo aunga mkono ripoti ya Tume ya Jaji Chande yenye mapungufu makubwa, Godbless Lema mbona hujasema kitu?

    Jidu La Mabambasi wewe ni mkongwe kwenye hili jukwaa. Don’t go this low. Siyo hadhi yako kabisa. Na wewe unajua.
  13. Masanja

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Range Rover vogue ya kuombea tenda iko sokoni

    Mkuu mafundi wapo. Ni pesa yako tuu. Au na wewe ni wale wa “mtanzania wa kawaida”.
  14. Masanja

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Palamagamba Kabudi, kuonja jiwe la moto Norway

    Possibly wewe umekutana na Kabudi Lumumba au umekutana naye barabarani. Mimi kanifundisha. I know him.
  15. Masanja

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Palamagamba Kabudi, kuonja jiwe la moto Norway

    Nani bora, muosha vizee anayepata pesa yake kwa jasho au chawa anayetegemea vya Kanyonga CCM kama wewe na wenzake?
Back
Top Bottom