Mpaka leo siamini (kweli kabisa siamini) kwamba kuna mtu mwenye akili timamu anaweza kwenda kwenye box la kura na kuipigia kura CCM (potelea mbali hata kama kura za CCM ni za kutengenezwa na polisi na tume ya S100).
Voting for CCM is voting for your suffering and against your own interests.
Mkuu hili swala liangalie kwa mapana yake. Diesel Ndo engine ya uchumi wa taifa. Machine zote za viwandani zinategemea diesel kwenye uzalishaji. Ukipandisha bei ya diesel kiufupi unaumiza uchumi na mwananchi wa kawaida anayetegemea hizo bidhaa za viwandani. Nimeshtuka sana kuona serikali...
Ndugu zangu tubadilike. Hivi kweli bado kuna mtu dunia ya Leo anaamini kwamba kuwa na gari ni utajiri? Seriously? Aisee ndo maana CCM inatuchukulia powa. Mimi nadhani ni swala la vipaumbele kwenye maisha yetu ya kila siku.
Biashara ingekuwa rahisi kama unavyotuaminisha tungekuwa na millionea wengi sana kweye hili taifa letu. Hiyo hiyo UTT kuna wazee wanapiga hela more than 20 years sasa. Wewe endelea kuwaza negative.
Kitu kama hukiwezi au hukitaki, usitake kuwafanya wengine wakichukie. In anycase, hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.