Kwa Mara ya kwanza chawa kaleta mada inayojielewa. Ila ukweli ni kwamba, serikali na CCM siku zote wanafikiria uchaguzi ujao. Wananchi wanafikiria namna ya kufaidika na mabaki ya wanasiasa. Ilmradi tunaishi kwa kuviziana. Maybe maendeleo tuliyonayo yanatosha, CCM hawachoki kutukumbusha.
Aiseee nimehamasika. Nimetembea kote ila sijafika kusini na nyanda za juu kusini. Najipanga nifanye road trip moja matata sana, kuanzia Dar, lindi-mtwara-Songea—Mbeya-Sumbawanga…..nipande nitokee Kigoma.
Gentleman1 hongera sana kwa huu uthubutu. Kiukweli ulifanya maamuzi magumu and few can match this. Kila lenye Heri. Mwenyezi Mungu akutangulie katika mipango yako. Naamini ukiendelea na hii approach, you will hit a billion…by 2030, na hapo sasa ndo kweli utastaafu at 42 comfortably.
Wengi tuna...
Mkuu Mbona umeandika kama chawa wa CCM? Au wewe unatumia id ya Lucas mwashambwa?
Kwa akili kama hii sidhani kama Unaishi huko unyamwezini. Kule chawa ni marufuku…
Mzee unaelewa maana ya legacy? hata wewe au mimi tukitangulia mbele ya haki...tutakumbukwa kwa kutetea maslahi na usawa wa kitaifa au kwa kuwa chawa na kuwakumbatia wezi wanaotutawala. Uamuzi ni wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.