Recent content by Masanja

  1. Masanja

    Tanzania yatajwa kuwa nchi ngumu kufanya biashara kutokana na uwepo wa vikwazo vingi

    Kwa Mara ya kwanza chawa kaleta mada inayojielewa. Ila ukweli ni kwamba, serikali na CCM siku zote wanafikiria uchaguzi ujao. Wananchi wanafikiria namna ya kufaidika na mabaki ya wanasiasa. Ilmradi tunaishi kwa kuviziana. Maybe maendeleo tuliyonayo yanatosha, CCM hawachoki kutukumbusha.
  2. Masanja

    Huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au amelogwa?

    Amechanganyikiwa kwa sababu anawaza tofauti na watu wengine? Au kwa sababu anawaza tofauti na wewe?
  3. Masanja

    Niliyoyaona Msumbiji kuhusu vyakula, silaha, mavazi, ngono na mengineyo

    Aiseee nimehamasika. Nimetembea kote ila sijafika kusini na nyanda za juu kusini. Najipanga nifanye road trip moja matata sana, kuanzia Dar, lindi-mtwara-Songea—Mbeya-Sumbawanga…..nipande nitokee Kigoma.
  4. Masanja

    Now mil 50 UTT, napambana ifike mil 65 mwaka huu

    Hujachelewa. Endelea kujitafuta. Huyu Mungu ni wa wote atiii.
  5. Masanja

    Kwako Chino Wanamani; nani anakupotosha na hayo magari?

    Acheni uchawi jamani. Kwani kaiba cha mtu? Na wewe Tafuta zako ujenge nyumba na kuanzisha biashara. Kwenye haya maisha kila mtu ana bahasha yake.
  6. Masanja

    Hayati Magufuli kukataa kufanya tathmini ya mazingira bwawa la Nyerere, sasa Rufiji inazama, serikali ifanye tathmini ya mazingira sasa

    Kweli maisha yanabadilika. Jiwe angekuwa hai, hili gazeti lingefungiwa na wahariri kupumzishwa keko.
  7. Masanja

    Now mil 50 UTT, napambana ifike mil 65 mwaka huu

    Gentleman1 hongera sana kwa huu uthubutu. Kiukweli ulifanya maamuzi magumu and few can match this. Kila lenye Heri. Mwenyezi Mungu akutangulie katika mipango yako. Naamini ukiendelea na hii approach, you will hit a billion…by 2030, na hapo sasa ndo kweli utastaafu at 42 comfortably. Wengi tuna...
  8. Masanja

    Nchi za Afrika zinazoongozwa vizuri

    Na wewe fanya research ulete matokeo hapa. Otherwise, hata kama una Nia njema, unaonekana ni mvivu wa kufikiri
  9. Masanja

    TV4Sale Star X TV inch 50 inauzwa bei nafuu

    Mbona unampangia maisha mwenzio?
  10. Masanja

    Somalia imekuwa mwanachama Rasmi wa Jumuaiya ya Afrika Mashariki

    Wewe unaona vita na ugaidi. Wenzako wanaona fursa za ajira na biashara. Yote ni mitizamo tuu… Ndugu zangu Watanzania tuamke…
  11. Masanja

    Mahakama ya juu zaidi Marekani yapiga marufuku jimbo lolote kumzuia Trump sanduku la kura, Wasiempenda anazidi kung'aa, Biden kaiharibu nchi

    Mkuu Mbona umeandika kama chawa wa CCM? Au wewe unatumia id ya Lucas mwashambwa? Kwa akili kama hii sidhani kama Unaishi huko unyamwezini. Kule chawa ni marufuku…
  12. Masanja

    Kifo cha Stan Katabaro kilivyoharibu legacy ya hayati Mzee Mwinyi

    Mzee unaelewa maana ya legacy? hata wewe au mimi tukitangulia mbele ya haki...tutakumbukwa kwa kutetea maslahi na usawa wa kitaifa au kwa kuwa chawa na kuwakumbatia wezi wanaotutawala. Uamuzi ni wako.
  13. Masanja

    Hongera CCM: Umelijenga Taifa imara Kwa vizazi vijavyo

    Umesahau kuweka number ya simu na jina kamili.
Back
Top Bottom