Recent content by Masanja

  1. Masanja

    Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    When you’re the beneficiary we call it connection. When you’re the victim, we call it corruption.
  2. Masanja

    Kenani Kihongosi: Rais Samia akishambulia, tumeshambuliwa Watanzania wote

    Huyu maza amezingua sana. Ameniondolea kabisa mwamko niliokuwa nao kuhusu support ya uongozi wa akina mama. What a man can do? a woman can do better........... Read that again...
  3. Masanja

    Kwenye malezi ya watoto hakikisha unawafundisha wanao how to think not what to think

    Kaka huu ni utani sasa...au unataka usikie nasemaje? Tunaomboleza ujue....?
  4. Masanja

    Kenani Kihongosi: Rais Samia akishambulia, tumeshambuliwa Watanzania wote

    Bro, huyu dogo amekuchefua asubuhi asubuhi kweli!!
  5. Masanja

    Kwenye malezi ya watoto hakikisha unawafundisha wanao how to think not what to think

    Kizazi cha wanaoshughulisha ubongo bila AI au Tiktok wamelisaidia nini taifa?
  6. Masanja

    Kwenye malezi ya watoto hakikisha unawafundisha wanao how to think not what to think

    Unasema watoto. Nadhani ungeanza na watu wazima. Maana fikra za watu wazima ndo zimetufikisha hapa na sidhani they have done a good job in thinking! Overall, kizazi cha sasa kinajitambua kuliko hawa wazee na watu wazima ambao wanawaza tuu kuiba na kujaza matumbo yao at the expense ya walio wengi.
  7. Masanja

    Kuhusu nafasi ya urais wa Tanzania 2030-2040 tayari CCM tunae kiongozi

    Kenge hasikii mpaka atoke damu kwenye masikio.
  8. Masanja

    UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

    Unajua kuna watu humu mnataka kutuaminisha kwamba 100M inaweza zalisha magic! Hivi kuna nyumba ya 100M unaweza pata rent ya 1M per month? Umeijenga wapi? Inawezekana-Maybe-lakini kwa mbinde sana.
  9. Masanja

    UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

    I wish hii post Utt AMIS wangeiona ingewasaidia kabisa.
  10. Masanja

    UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

    Mkuu kwani mapambano yana njia moja? Kila mtu anapambana kivyake. Au wewe kupambana mpaka mtu akachimbe madini au anunue dala dala? hata kununua vipande vya UTT ni mapambano. Au unadhani hivyo vipande vinagawiwa bure? Mapambano hayawezi kuwa sawa, kila mtu anatafuta mapambano yenye unafuu. Hata...
  11. Masanja

    PostGE2025 Padre Kitima akumbushia matukio ya Oktoba 29 asema 'kesi za uvunjaji wa haki za binadamu hazifutiki'

    Fr. yupo sahihi. Jinai haiozi. Ipo siku wajukuu wa Polepole, Mwangosi nk watauliza haya maswali kwa watawala watakaokuwepo. Inawezeakana mimi na wewe hatutakuwepo. Hata kwenye personal life, uchafu ni uchafu tuu. Lazima muhusika ulipe gharama. ni kanuni ya maisha. Sijui kwa nini...
  12. Masanja

    Sugu: CCM sasa hivi hawatawali nchi, inatawaliwa na Dola. Huenda CCM wamenyang'anywa jukumu la kufanya Siasa

    Kila nikimuangalia sugu, ninachoweza kuwaambia vijana na wengine wanaojitafuta: Dreams are valid.
  13. Masanja

    Kwa mara ya kwanza natofautiana na Mange Kimambi juu ya msimamo wa Iran

    Unawapangia watu jinsi ya kuendesha maisha yao. Haikubaliki!
  14. Masanja

    Kwa mara ya kwanza natofautiana na Mange Kimambi juu ya msimamo wa Iran

    Huu uzi...... Ngoja tuone mwisho wake.....
  15. Masanja

    Kwa wenye 45+, mambo gani ya kuzingatia?

    Zembea yote lakini siku za uzee wako usiwe omba omba. KIUFUPI UWEZE KUJIMUDU. Uhakikishe una usafiri unaoweza kukupeleka popote (kama siyo humu Tz basi angalau hata hapo Dar au mkoa wowote uliomo), uwe na uwezo wa kumlipa dereva akuendeshe, uwe na uwezo wa kujigharamia matibabu, ikitokea shida...
Back
Top Bottom