Wadada wakikenya hawafai kabisa

Wadada wakikenya hawafai kabisa

Kama ni legelege hawezi kuishi na mkikuyu. Ki historia hao ni rebellion, ukienda Mlima Kenya asilimia kubwa ya watoto hawana baba na majina yao huwa wanapewa ya mama zao endapo dingi amezingua, mfano unakuta mtu anaitwa Kamau Waicera.
Ni vyema kuelewa utamaduni wa jamii kabla ya kukimbilia kuoa.
yes, jamaa ni soft. hapo hajaoa msenegal au mnigeria!
 
Mwanamke akupende tu hivi hivi bila mzigo basi kuna watu watakuwa wanakusaidi majukumu ya kiMZIGO.
Upo sahihi kiongozi nakumbuka kitambo sana wakati najitafuta niligongewa mwanamke wangu ila nilipombana sana akanieleza lengo apate pesa amnunulie nguo mtoto wetu.....aisee niliumia mno na kweli alimnunulia mwanangu nguo dogo akawa na nguo Kibao jambo ambalo mimi nilishindwa....umaskini msenge kweli wewe
 
Upo sahihi kiongozi nakumbuka kitambo sana wakati najitafuta niligongewa mwanamke wangu ila nilipombana sana akanieleza lengo apate pesa amnunulie nguo mtoto wetu.....aisee niliumia mno na kweli alimnunulia mwanangu nguo dogo akawa na nguo Kibao jambo ambalo mimi nilishindwa....umaskini msenge kweli wewe
Vijana huwa wanajiongopea sana oh Demu kanipenda mimi sina hela ni mapenzi tu ,hawajui vizuri mademu.....Demu kuna kitu ameona kwako so kwa kipindi cha kukusibiria wewe ufike anapokuona ndiyo hapo kwa pembeni anatafuta backup ya kumuhudumia.
 
Kuna msela wangu ameoa kenya ila alikuwa aninihadithia simuliz yake ya ndoa kuwa alifanikiwa kuoa mkikuyu. Alinieleza anajutia kuoa huko. Mke wake anamtukana mbele ya watoto na ni mjeuri sana haambiliki.
Huwa anampenda akiwa na pesa asipokuwa nayo ni ugomv mtup.na amemtishia toka siku nyingi atamuacha na aondoke na wanawe.

Baada ya kukaa bongo kwa miaka 2. Siku moja baada ya kutoka kazini alikuta mkewe kasha ondoka na wanawe, alijarib kumpigia simu ila haikupokelewa.

Jamaa anajutia sana kuoa mkenya saivI mda wake ushaenda na kuoa saiv noma, alikarirI kuwa wakenya hawafai
Umemshauri nini hadi hapo huyo fulendi wako zuzu?
 
Atafute singo maza wa kushikisha ampige goli angalau apate hata mtoto
Muongeze lingine.Atafute kitu cha kumuingizia kipato.Inaonesha alienda kuolewa huko KE na limshangazi.Mwanaume mwenye kipato na mamlaka ya kiume hawezi kukubali kuwa dhalili hovyohovyo.Kama amekwama kabisa,arudi Bongo auze uduvi na utumbo wa kuku.
 
Back
Top Bottom