nadhani hili linaanzia kwa jpm
nikisikiliza hata wakati anahutubia lazma aanze kwa kuwaponda wapinzani ndo aendelee na hotuba
ninachoshangaa kinachowafanya wabague wapinzani ni nini?
hii nchi ni ya watanzania wote
ni aibu sana badala ya kushikamana kufanya kazi tuijenge nchi yetu kina gambo...
sure thing mi nilishafunga ac yangu crdb
nilienda jumamosi moja tukapigishwa foleni ya kutisha kisa network nilivyofika dirishani baada ya masaa 4 taller ananiambia niende dirisha la pili eti kitambulisho hakitambuliki wakati ndo cha mwajiri wangu aliyenitilia huo mshahara
bahati nzuri...
nina hasira ngoja nitulie sana hii imepigilia msumari wangu wa mwisho sitaki kusikia kitu kinaitwa ccm nadhani kuna siku nitauwawa kwa ajili ya ccm i swear today
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.