Sasa nashukurWe ungekuwa hutaki hata hapa usingekuja, you could have just stayed with your hard decission. Kitendo cha kuja hapa unapima upepo tu.
Baki na uwamuzi wako maana kuna hasara nyingi za kuzaa na mtu ambaye tayari alishakuwa na familia tena watoto wanne.
Duuuuuuh asante kuniepusha na tegoHapo anakuja na hitaji la mimba tuu ! Ila akishanifungua ndo utajua mchezo ulivyo...
Kisheria unakuwa binded kulea mtoto kama baba yake..! So lazima mtashikiriana kulea ...ukijifanya mjanja tuu akaenda ustawi wa jamii huko waatakubana hadi ukome..
Hii story kama ya DiamondHeri ya mwaka mpya wanajamvi,
Mimi ni kijana ninamiaka 27, ninarafiki yangu wa kike ambae ambae anataka nimpe mimba. Ila ubaya mimi sina mtoto na wala sijaoa ila yeye aliolewa na anawatoto 4. Sasa anadai anahitaji mtoto toka kwangu kulea anasema atalea mwenyewe.
Naombeni ushauri maana hali hii nimekutana nayo kwa wanawake wengi sana. Huwa nawakatalia sasa naona inajirudia.
Nisaidieni wakuu.
sababu za kutaka mimba yako ni nini jipange mkuu unaweza kupata madhila ya kukuchefua sana hukuo mbeleni ukajuta kuzaliwaHeri ya mwaka mpya wanajamvi,
Mimi ni kijana ninamiaka 27, ninarafiki yangu wa kike ambae ambae anataka nimpe mimba. Ila ubaya mimi sina mtoto na wala sijaoa ila yeye aliolewa na anawatoto 4. Sasa anadai anahitaji mtoto toka kwangu kulea anasema atalea mwenyewe.
Naombeni ushauri maana hali hii nimekutana nayo kwa wanawake wengi sana. Huwa nawakatalia sasa naona inajirudia.
Nisaidieni wakuu.