Anataka nimpe mimba azae na mimi ila ni mkubwa kwangu

We ungekuwa hutaki hata hapa usingekuja, you could have just stayed with your hard decission. Kitendo cha kuja hapa unapima upepo tu.
Baki na uwamuzi wako maana kuna hasara nyingi za kuzaa na mtu ambaye tayari alishakuwa na familia tena watoto wanne.
Sasa nashukur
 
Ehh unamaanisha anaenda kuzaa mtt wa tano sasa,sio,atakua nduguye Zari
 
Mimba mpe utakayemua kumuoa tu na si vinginevyo, ina maana hao wanne hawamtoshi?
 
wana maneno matamu lengo washike hatamu,
Utakuja jilaumu dunia uone sumu,
Watakuja kuweka ngumu wataka kwao udumu,
Mie ninawafahamu lengo lao wahujumu,
Utakuja tema nyongo, kwa visa vyao visoisha...
Asante kwa ushauli mkuu
 
>>>Nipe namba zako nikusaidie kumpa..... Mtoto akiomba wembe mpe..


Miaka 27 huna mke, huna mtoto.. Unapata offa ya kumpatia mtu mimba hutaki .... Jichunguze.
 
  • Thanks
Reactions: e2n
>>>Nipe namba zako nikusaidie kumpa..... Mtoto akiomba wembe mpe..


Miaka 27 huna mke, huna mtoto.. Unapata offa ya kumpatia mtu mimba hutaki .... Jichunguze.
Haahaaaaa haya mku
 
Tafta mwanamke mbichi asie Na watoto ndo itakuwa afadhali umzalishe huyo kuliko huyo mwenye watoto wanne!!
 
  • Thanks
Reactions: e2n
Hapo anakuja na hitaji la mimba tuu ! Ila akishajifungua ndo utajua mchezo ulivyo...

Kisheria unakuwa binded kulea mtoto kama baba yake..! So lazima mtashikiriana kulea ...ukijifanya mjanja tuu akaenda ustawi wa jamii huko watakubana hadi ukome..
 
  • Thanks
Reactions: e2n
Hapo anakuja na hitaji la mimba tuu ! Ila akishanifungua ndo utajua mchezo ulivyo...

Kisheria unakuwa binded kulea mtoto kama baba yake..! So lazima mtashikiriana kulea ...ukijifanya mjanja tuu akaenda ustawi wa jamii huko waatakubana hadi ukome..
Duuuuuuh asante kuniepusha na tego
 
Heri ya mwaka mpya wanajamvi,

Mimi ni kijana ninamiaka 27, ninarafiki yangu wa kike ambae ambae anataka nimpe mimba. Ila ubaya mimi sina mtoto na wala sijaoa ila yeye aliolewa na anawatoto 4. Sasa anadai anahitaji mtoto toka kwangu kulea anasema atalea mwenyewe.

Naombeni ushauri maana hali hii nimekutana nayo kwa wanawake wengi sana. Huwa nawakatalia sasa naona inajirudia.

Nisaidieni wakuu.
Hii story kama ya Diamond
 
  • Thanks
Reactions: e2n
Heri ya mwaka mpya wanajamvi,

Mimi ni kijana ninamiaka 27, ninarafiki yangu wa kike ambae ambae anataka nimpe mimba. Ila ubaya mimi sina mtoto na wala sijaoa ila yeye aliolewa na anawatoto 4. Sasa anadai anahitaji mtoto toka kwangu kulea anasema atalea mwenyewe.

Naombeni ushauri maana hali hii nimekutana nayo kwa wanawake wengi sana. Huwa nawakatalia sasa naona inajirudia.

Nisaidieni wakuu.
sababu za kutaka mimba yako ni nini jipange mkuu unaweza kupata madhila ya kukuchefua sana hukuo mbeleni ukajuta kuzaliwa
 
Back
Top Bottom