Yupo sahihi kwa cc christian tunaamin Mungu hampi MTU mchumba bali anampa mke.huyu kataka mke cz anataka kuoa ila angetaka mchumba tungesema bado anahitaj kuchunguza
Mi naomba nkushaur kidogo.Humu utadanganywa tu bure cz wk zilizopta kuna mtu alilalamika hapa kwamba ameshachat na wanawake wa tatu bt kila wanapokubaliana kuonana na hao mabint wanaingia mitin na wengine wamemlia hata hela.kama upo serious tafuta namna nyingin utapat tu mke huku utapotezewa muda.
Asa unavyosema umebanwa human Mda wa kutafut mdada, huku ukimpata utaonana mate sangap? N a kwanzia umeanza primary mpak chuo umeanza na kaz bado tu hujaona????????au ndomo.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.