Mbowe kukamatwa kwa ufisadi

Mbowe kukamatwa kwa ufisadi

Kweli mkuu mie siyo level yako mkuu pesa nazotumia kutunza mbwa wangu 3 chakula na maradhi unakula wewe na familia yako miaka miwli.

Jaribu kuedit na uweke miaka 10,nin kitabadilika?Nani wa kuthibitisha uyasemayo?Umepigia hesabu mbwa wako,umejuaje kula ya familia ya mwanajamvi ambaye humjui hata kwa sura?Hujasema hao mbwa wako ukiwatunza kwa muda gani ndio itakuwa sawa na miaka miwili ya kuilisha familia ya mlengwa kwa miaka 2!Unamaanisha maisha ya mbwa wako ni bora kuliko ya familia ya mlengwa?
Naomba nikutambue kama ulivyojitambulisha kuwa wewe ni mbwa,juha,mpumbav na mpuuz!!
 
Mkuu si ujibu tu.
Sheria inasemaje kuhusu umiliki wa akaunts nje ya nchi?.

Utaelewa siku ukiwa na biashara nje ya nchi...wewe endelea kuuza ubuyu wako hutaweza kuelewa hayo mambo ya biashara
Naamini hujui kama money laundering ni tofauti na money transfer.....kukariri kubaya sana maana ukitikiswa tu kidogo unapoteza....
 
sasa hapa unatetea nini?
akili za chooni hizi ni shida sana. huyo mbowe hata umtetee hulambi hata senti yake labda kama wewe ni joyce nkya au yule binti wa mtei anayeishi naye.
acha tu alipe kodi au kama ni rushwa vyombo vya sheria vichukue mkondo wake tupate hela ya kujengea barabara tupite wote.

Mtoa mada kabla hujaleta post humu jaribu kufuatilia angalao kidogo kama kuna kinachoendana na unachotaka kuleta. Hii issue ni marudio tuu unaleta hapa, hii imeletwa humu kipindi cha kampeni halafu nawe ukaibeba kama ilivyo bila kujiuliza, Je international cash transfer ndo hivyo huwa zinafanyika kulingana na hicho kipeperushi ulichoweka!?

Ifike wakati tulete mada ambazo siye wenyewe waletaji tumejilidhisha!!

Hiyo document ni nini haswa? Inamuamlisha nani kufanya nini? Document moja inaenda bank zaidi ya moja? Unajua kweli usiri ulioopo kwenye account ya mteja na bank?
 
Mateka wa Mbowe lazima watamtetea boss wao.

Kijana mimi sio mateka wa mtu ila hii stori haina tofauti na ile ya Ugaidi ya Lwakatare! Selikali ya jk ilikosa weledi! Ugaidi mtu hana hata manati!
 
Hizi tuanita wezere... tusipoangalia hata ukituma pesa china kuleta hardware utaambiwa unatorosha

nasubiri na mimi nikamatwe...
 
Taarifa ilizozipata gazeti hilo kutoka FIU, ilisematayari kila kitu kimemalizika na kilichobaki ni suala hilo, kulipeleka Polisi kwa ajili ya kuchukua uamuzi zaidi wa jambo hilo blah blah blah
.............................
Ikiwa FIU watakamilisha uchunguzi wao haraka kama inavyotarajiwa, jeshi la polisi litakuwa na wajibu wa kumkamata na kumfikisha mahakamani kwa tuhuma za usafirishaji fedha isivyo halali
.


huu uandishi wa nyumbu kiboko,
 
asa pesa zake mwenyew akamatwe, majizi ya escrow mmeyafumbia macho akat hela ni za serikali.. ..kweli tz mambo yanafanyika kinyumenyume
 
Mimi nadhani, kwa kuwa Mh. Mbowe ni mfanya biashara wa kimataifa basi ataweza kuwaeleza tu ni nini alichokuwa anafanya na zile transfers kutoka Dubai kwenda Hong-Kong, kama ni za ukweli. Tusubiri matokeo ya uchunguzi.

Tusimsakame mleta mada au gazeti lenyewe kwa sababu wameeleza walichokipata toka Polisi - kama ni kweli.

Wasiwasi wangu ni kile kipengele cha kuwa CHADEMA ilipatiwa ruzuku kutoka kikundi cha Japan ya $300,000. Kwa kuwa CDM ni chama cha siasa kinachopata ruzuku kutoka serikalini basi accounts zake zote zinapaswa kukaguliwa na Mkaguzi mkuu wa serikali.

Katika huu ukaguzi kama ikionekana kuwa account za CDM hazikupata hizo pesa na badala yake waJapan wakisema waliziingiza kwanye account ya Mh. Mbowe ilioko Dubai basi itabidi Mh. Mbowe aeleze alizifanyia nini hizo hela za ruzuku (sidhani kama ni hivyo).

Kama ni kweli bado sio lazima kuwe na kosa. Inawezekana uongozi wa CDM ulikubaliana kuwekeza hizo hela nje ili zizaliane kidogo kabla ya kuzileta hapa Tanzania. Hapa CDM itabidi waoneshe huu mlolongo wa uwekezaji huko nje kiuwazi katika mahesabi yao.

Ni muhimu hili suala liwekwe wazi haraka sana ili liondoe haka kawingu kalikomzunguuka Mh. Mbowe. Nasema ni muhimu kiwingu kiondoke kwa sababu CDM ina safari ndefu sana kurudisha mvuto iliokuwa nao kabla ya Julai, 2015.

Mh. Mbowe ni mtu smart sana na hawezi kufanya upuuzi utakaomletea kashfa za money laundering. I hope hii habari haina mashiko. Tunahitaji waTanzania wanaojiamini kuwekeza nje kama huyu bwana. Kuna watu wa nnje chungu nzima wanawekeza hapa Tanzania, kwa nini na sisi tusiwekeze nje?
 
Siku Magufuli akipiga ziara ya kushtukiza pale Billcanas nchi itatikisika. Mbowe ameiba pesa za chama na mabilioni ya lowassa bila ata kuona haya. Pale bills ni ngono inauzwa nje nje mirungi ganja na ndio pesa inayomtajirisha Mbowe.
 
Siku Magufuli akipiga ziara ya kushtukiza pale Billcanas nchi itatikisika. Mbowe ameiba pesa za chama na mabilioni ya lowassa bila ata kuona haya. Pale bills ni ngono inauzwa nje nje mirungi ganja na ndio pesa inayomtajirisha Mbowe.

Nina wasiwasi na we wenda hata clubs unazisikia tu ujawai hata kwenda ndo mana unaongea kama ujajielewa vizur ebu acha billz ongelea wamiliki wa kumbi za starehe ndo wanapiga hela vizur tu mana clubz ina umri nadhani mkubwa zaid yako ebu jiongeze kdg hata kama udini na starehe ni tofauti anza kujifunza kwenda kwenye bata we uone unatumia hela kiasi gani ndo utajua faida za kumbi za starehe
 
Kuna mchangiaji kakuta toilet paper sizani kama kakosea. Kukurupuka ni janga la kitaifa haya mpeleke mahakamani,na ukichelewa utakufa na huo ushahidi wa fedha za mbowe kama mtikira.
 
Mtoa mada kabla hujaleta post humu jaribu kufuatilia angalao kidogo kama kuna kinachoendana na unachotaka kuleta. Hii issue ni marudio tuu unaleta hapa, hii imeletwa humu kipindi cha kampeni halafu nawe ukaibeba kama ilivyo bila kujiuliza, Je international cash transfer ndo hivyo huwa zinafanyika kulingana na hicho kipeperushi ulichoweka!?

Ifike wakati tulete mada ambazo siye wenyewe waletaji tumejilidhisha!!

Hiyo document ni nini haswa? Inamuamlisha nani kufanya nini? Document moja inaenda bank zaidi ya moja? Unajua kweli usiri ulioopo kwenye account ya mteja na bank?

steven robart masatu nadhani ushauri wako ni bora pia kabla hujakanusha utafakari kama ambavyo mie naendelea kutafakari hoja
 
Huyu atakua zitto mawivu wivu

Hivi hizo pesa zilikua hapa katila benki gani kati ya benki zote hapa nchini

Au FIU inafanya kazi mpaka ARAB NATIONS siasa za hivi zilishapita mkui
 
Back
Top Bottom