Recent content by martinojr

  1. M

    CHADEMA, haya anayoyasema Kibanda ni ya kweli?

    kueni makini na habari za kwetu hapa, watu wananunua watu sikuhizi...
  2. M

    Mtizamo juu ya dini na kukua kwa siasa tanzania

    Katika maisha ya mwanadamu suala la dini halikwepeki. Ikiwa mtu ana dini basi atakutana na changamoto za kidini aidha kutoka wa wale wenye dini moja naye au dini tofauti. Na ikiwa mtu anajiita hana dini vile vile atakumbana na changamoto mbalimbali. Kwa upande wa huyu aliyeamua kutokuwa na dini...
  3. M

    Gwajima: Siwezi kuwasahau Dr. Slaa, Lowassa

    ckuizi anaandika kile anachotaka kusema, kwa mtindo huu hutosikia "mtu mmoja, asiyejua moja, mwenye vihoj, asiyeweza ngoja.......", nadhani ni vyema aendelee kuandika ivo ivo.
  4. M

    Vijana Morogoro waikubali na kuisifia Katiba Inayopendekezwa

    haya ni matokeo ya kutokuwa na utashi mzuri wa kisiasa na kuchoka kufikiri muda usio rasmi. Hivi unavosema vijana wa morogoro unamaana gani?, baadhi?, wote?, au vijana wa chama fulani?. Nauliza hivi kwani mimi ni kijana pia na nipo sehemu tajwa yaani Morogoro. Kati ya vitu vinavyoweza kumshushia...
  5. M

    Uwezo wa kuongea na wafu: Elimu Iliyoshindikana duniani

    hiyo app ndio ninayotumia kuhabarika hapa kwa kusoma habari na kucomment, ninachohitaji ni jinsi ya kuweza kupost na watu wakasoma kile nilichoandika. Nadhani nimejibu vyema kaka mshana jr.
  6. M

    Tahadhari kwa wageni mnaotegemea kushukia kwenye nyumba ya kulala wageni ya Lyamungo Lodge-Morogoro

    duh!, hapa alieomba ushauri baada ya kushaurika anaweza changanyikiwa, wengine wanasema usimwamini mtu, wengine mwongozo unatakiwa kufuatwa kwa kukabidhi mali za thamani kwa wale wa mapokezi. Nadhani mtoa onyo yupo sahihi na kwangu nimeelewa hili andiko otherwise liwe limepotoswa. Mosi, inakuaje...
  7. M

    Jamani mwenzenu nina huzuni,kila ninayempenda ananikataa

    duh!, pole sana.... nahisi tunashare huo hudhuni, ila naona you won't get one unless you change that name "principle gal", majina yana maana sana katika kuinfluence maisha ya mtu, ukiwa ni wa principles ni sheider koz men are always heads of the family, sasa ukiwa na principles u over through...
  8. M

    Uwezo wa kuongea na wafu: Elimu Iliyoshindikana duniani

    asante sana, naomba somo juu ya kupost makala ktk jf, me mgeni humu...
  9. M

    Hapo ndio nashindwa kuwaelewa wanawake

    najuta kukukuta JF, duh!, akina Gwajima on board
  10. M

    Mke wangu kamtembezea kipigo mchepuko wangu

    MPELELEZI:Hebu Soma Biblia Kitabu Cha TITO 3:2. GWAJIMA:"Kwa Ujasiri" 'WASIMTUKANE MTU YEYOTE,WASIWE WAGOMVI,WAWE WEMA,WAKIONYESHA UPOLE WOTE KWA WATU WOTE. MPELELEZI: Je Wakati Unapohubiri Huwa Unatumia Biblia Au Kuna Kitabu Kingine? GWAJIMA: Biblia. MPELELEZI: Soma YAKOBO 4:11. GWAJIMA...
  11. M

    Mke wangu kamtembezea kipigo mchepuko wangu

    angekupiga wewe, na ninasisitiza akupige tu, kama kibonde kila siku anasisitiza nazani hamna njia nyingine, amechoka kukuvumiliaaa
Back
Top Bottom