Gwajima: Siwezi kuwasahau Dr. Slaa, Lowassa

Gwajima: Siwezi kuwasahau Dr. Slaa, Lowassa

Hivi kasema hawezi kuwasahau au hawezi kuwatupa?!!

Halafu kwenye picha upande wa kulia wa picha (middle right) naona kuna sijui waamini au baadhi ya viongozi wasio kuwa na asili ya Afrika, je wanahusika vipi hapo jukwaani?!

gwajima.jpg
 
Mfikishieni ujumbe askofu kuwa wa kina tomaso waleo bado wana subiria ahadi yake ya ufufuo wa aliye kuwa makamu wa rais na amina chifupa.
 
Ina maana kawa mlemavu?
Hao viongozi wanaosali kwake wengi wao walienda kwenye kikombe cha babu.
 
Najiuliza hao waumini wakiitikia wito wake wakongozana nae huko kituoni kutakuwaje,mfano ndio wameenda 1000
 
Hivi si ni afadhali angewaambia wafunge na kuomba kuliko kumsindikiza kituoni? Si patajaa sana pale?
 
Naona kwenye mahubiri yake anawambia waumin wake waende polis alhamisi. Anawambia lakin msitukane. Kwan walokole wanatukanaga jaman? Au kwa vile yeye alimtukana pengo matusi anaona waumin wataiga na kuwatukana polisi? Tujihadhari na huyu mtu jaman na tumwombee ili aokoke na kuachana na matusi.
 
anatamba akiwa kanisani kwake tu,maana kuna wasiojielewa wengi hawaoji,mbona akienda polisi anasuga amezidiwa na kutia unyonge,wanasiasa wanaenda wanaenda kwake ili wapate kuungwa mkono na waumin wake maana hawajielewi
 
anatamba akiwa kanisani kwake tu,maana kuna wasiojielewa wengi hawaoji,mbona akienda polisi anasuga amezidiwa na kutia unyonge,wanasiasa wanaenda wanaenda kwake ili wapate kuungwa mkono na waumin wake maana hawajielewi

Ungesikiliza alichosema siyo unaadisiwa
 
Hivi kasema hawezi kuwasahau au hawezi kuwatupa?!!

Halafu kwenye picha upande wa kulia wa picha (middle right) naona kuna sijui waamini au baadhi ya viongozi wasio kuwa na asili ya Afrika, je wanahusika vipi hapo jukwaani?!

gwajima.jpg
Yoote tisa, kumi aseme anaumwa nini bada ya kuulizwa maisha yake binafsi na hela alikozipata.
 
HII michezo tunayochezewa n balaaa. Wanataka tuconcetrate kwa gwajima ili mambo mengne tusiyawaze. dah noma kwel
 
Mi ambacho kinanishangaza... ni uwezo wake wa kuponya watu.. ameonbea watu wenye matatizo mbalimbali wakapona..
Yeye kama kiongozi.. iweje atumie silaha il jmkujirinda.. inamaana ulinzi wa yesu hautoshi..
Kama asikofu anajilinda na silaha.. je sisi waumin.. tujilinde na nin
 
Leo, Jumatatu ya PASAKA, takribani Magazeti yote yamepambwa na vichw vya habari vinavyomnukuu JOSEPHAT GWAJIMA akisema: "SITAWAACHA LOWASSA, SLAA".
Ameyasema hayo wakati wa ibada ya Pasaka, aliyoiongoza akiwa kwenye kile na hoja yake ikiwa ni kiwa anasikia UVUMI kuwa aliitwa kuhojiwa na POLISI kwa sababu aliwakaribisha LOWASSA na SLAA kanisani kwake.

Labda GWAJIMA amechanganyikiwa. Namkumbusha kuwa alitwa kuhojiwa na Polisi kwa sababu alimtukana Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo kuu la Dar es Salaam, Muhadhama Polycarp Kardinari Pengo.

Jambo la Msingi Kabisa kutokana na hii kauli yake iliyopamba vichwa vya Magazeti ya leo: Ni wazi Kabisa Kauli hii inalenga kumaanisha kuwa hatawaacha LOWASSA na SLAA katika mbio za Urais. Kama ni kweli basi amewaangamiza kisiasa. Gwajima kwa matukio ya hivi karibuni ni Mchafu sana na hawezi kuwasaidia chochote wagombea wake kufikia malengo yao.

RAIS CHAGUO LA WATANZANIA ATATOKA KWA MUNGU NA SIYO KWA WACHUNGAJI WACHAFU KAMA GWAJIMA.
 
ckuizi anaandika kile anachotaka kusema, kwa mtindo huu hutosikia "mtu mmoja, asiyejua moja, mwenye vihoj, asiyeweza ngoja.......", nadhani ni vyema aendelee kuandika ivo ivo.
 
Back
Top Bottom