Recent content by Martin Majula Malima

  1. Martin Majula Malima

    Mtifuano wa Ubunge Jimbo la Ukerewe

    Hapo vipi Ngongo Ndugu wana JamiiForum wenzangu! Katika jukwaa hili uliwekwa uzi wenje kichwa cha habari "Mtifuano wa Ubunge...
  2. Martin Majula Malima

    Mtifuano wa Ubunge Jimbo la Ukerewe

    Ndugu wana JamiiForum wenzangu! Katika jukwaa hili uliwekwa uzi wenje kichwa cha habari “Mtifuano wa Ubunge Jimbo la Ukerewe”. Katika ‘uzi’ huo mwandishi aliyejitambulisha kwa jina la “Yaika Yaika” ameeleza maoni na mtazamo wake juu ya aliowaita watia nia. Katika orodha yake amemtaja Martin...
  3. Martin Majula Malima

    Maelezo yangu kuhusu "Mtifuano wa ubunge Jimbo la Ukerewe

    Ndugu wana JamiiForum wenzangu! Katika jukwaa hili uliwekwa uzi wenje kichwa cha habari "https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/792585-mtifuano-wa-ubunge-jimbo-la-ukerewe.html. Katika ‘uzi' huo mwandishi aliyejitambulisha kwa jina la "Yaika Yaika" ameeleza maoni na mtazamo wake...
  4. Martin Majula Malima

    Chenge anaongoza kwa kuchukiwa na Watanzania wengi nchi nzima

    Ni kama Masha. Alikuwa anachukiwa kuanzia Dar es salaam mpaka Mwanza.
  5. Martin Majula Malima

    CHADEMA wamuandalia Limbu ziara za Kigoma, Tabora, Rukwa na Katavi

    Mwl. Kaijage, hao wanasiasa mahili ni akina naona?
  6. Martin Majula Malima

    Dew bottled water

    TAARIFA KWA UMMA USALAMA WA MAJI YA KUNYWA YENYE JINA LA KIBIASHARA “DEW” Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) imebaini uwepo wa taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii na simu za mikononi za kukataza watu wasinunue wala kunywa maji yaliyofungashwa kwenye chupa yenye jina la...
  7. Martin Majula Malima

    Sitashiriki maandamano CHADEMA

    Kwani makubaliano yalikuwaje, in case mwanachma akifia field? Na gharama za kumsafirisha zilitolewa na nani? Je, wewe na Lwakatare si Chadema? Vp mbona husemi vifo vya Mwangosi, Alizona, Wale wa Arusha, Mwambo wa Arumeru na wenachma wengine? Mchango wa Chama ulikuwaje? Ebu tupe majibu ili tujue...
  8. Martin Majula Malima

    Mwenyekiti wa CHADEMA Arumeru Magharibi ahamia ACT

    Utawadanganya wajinga..yaani tarehe 25 uongozi wako unakoma, then tarehe 26 unaamia ACT-Tanzania. Ina maana ulisubiri ushindwe ndio upate kick ya kujiungia ACT-Tanzania? Msalime Mushumbusi!
  9. Martin Majula Malima

    Vijana wengi wana hasira na Zitto Kabwe

    Mimi nilikua namkubari sana Zitto. Lakini siku hizo hana nafasi tena kwangu. Namwona kama mbinafsi anayedhani anajua kuliko wengine.
  10. Martin Majula Malima

    Kwanini Mkoa wa Kigoma unakosewa heshma?

    Mazuri yanafanywa na wanakigoma walioko Kigoma.. Wale wanakigoma walionje Kigoma ndio chanzo cha nyie kutukanwa. Kaeni chini mjitathmini.
  11. Martin Majula Malima

    Ajali ya chopa: Kamanda Kova ameonesha udhaifu

    Jana katika vyombo vya Habari na magazeti ya leo Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam Suleiman Kova amenukuliwa ‘akijigamba' kuwa alikuwa wa kwanza kuruka kutoka katika Helikopita iliyopata ajari. Ndani ya ndege hiyo alikuwemo Makamo wa Rais Dkt. Bilal, Mkuu wa Mkoa wa Dar es...
  12. Martin Majula Malima

    Muhimbili interview

    Kafanye interview kwanza wewe!
  13. Martin Majula Malima

    Matokeo ya Kidato cha nne: TUNALO LA KUJIFUNZA ZAIDI KWA KANISA KATORIKI?

    Matokeo ya mtihani wa kidato cha nne wa mwaka 2013 yaweza kutumika kama uthibitisho mwingine wa nguvu ya kanisa katoriki nchini Tanzania. Hizi ndizo shule 10 bora:- 1. St.Francis Girls (Mbeya), 2. Marian Boys (Pwani), 3. Feza Girls (Dar-es-salaam), 4. Precious Blood (Arusha), 5. Canossa...
Back
Top Bottom