wapendwa mimi nadhani hii ndege inaweza kutumia barabara kama ya kutoka dukabovu kuelekea kisongo kama running track ya kurukia kwa dharura.naomba kuwasilisha wazo langu.
kwani hujui maana ya ndoa hadi unasema anakulazimisha!?unadhani kwao hakuna chakula au nguo nzuri?
timiza mahitaji ya ndoa yako usije baadae ukatuletea mada nyingine"mke wangu ananisaliti".akili kichwani.
kaka pole sana lakini ni jambo la kawaida hapa duniani ila likikutokea linauma sana na unaweza poteza uelekeo wa maisha.
nakumbuka jamaa mmoja ilimtokea kama wewe,aligundua mkewe ana mimba ya mwanaume mwingine.akaamua kwenda kwao kueleza familia yaliyompata.jamaa msimamo wake ulikuwa ni kumtosa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.