Recent content by Mark Shafii

  1. Mark Shafii

    Nahitaji supplier wa Tende Dar

    Kwema wadau? Nahitaji supplier wa tende aina ya saad 10Kg zile za kupima mwenyewe na Maghadi zile za 1/2Kg. Msaada please.
  2. Mark Shafii

    Naombeni ushauri ninunue friza la kampuni gani?

    Shukran sana kwa mchango wako . Ila mahali nilipo sanasana wanauza boss. Nilikuwa nataka kuchukua boss Kama hii hapa chini . Halitonisumbua?
  3. Mark Shafii

    Naombeni ushauri ninunue friza la kampuni gani?

    Assalamualaikum, Naombeni ushauri ninunue friza la kampuni gani kwa ajili ya biashara ya soft drinks na maji kwenye duka la rejareja.
  4. Mark Shafii

    Tuweni serious

    This is my point of view too... Ani iko hivi Sio jukumu la mtoto kumlea mzazi ... Ni jukumu la mzazi kumlea mtoto ... Mama yangu na baba yangu wamenilea nimefika hapa nilipo wamemaliza jukumu lao ... Ni jukumu langu kulea familia yangu(mke na watoto) nao niwafikishe level ya kujitegemea... Sasa...
  5. Mark Shafii

    Asante 2022, nilipata mil. 4.5 kimasihara

    Sawa umetapeli hela ya watu lakini acha kumshirikisha Mwenyezi MUNGU kwenye ujinga wako. 😮‍💨
  6. Mark Shafii

    Ujenzi wa hidden roof na paa la kawaida

    Mimi nimepaua Hidden roof na haivuji ... Lakini i will stick to my last statement. "USIPAUE HIDDEN ROOF KUOKOA GHARAMA ... UTAIMBA HALELUYA"
  7. Mark Shafii

    Ujenzi wa hidden roof na paa la kawaida

    [emoji16][emoji16][emoji16] Omba Dua mafuriko ya Nuhu yaje ufanye experiment yako .
  8. Mark Shafii

    Ujenzi wa hidden roof na paa la kawaida

    Hiki ni kiangazi? [emoji50]‍[emoji100]
  9. Mark Shafii

    Ujenzi wa hidden roof na paa la kawaida

    Mwaka wa kwanza Bati gauge 30 tu
  10. Mark Shafii

    Ujenzi wa hidden roof na paa la kawaida

    Mimi nimepaua hidden roof ... Haivuji .... But kama unachagua namna ya upauaji kwa ajili ya kupunguza gharama wewe bora upaue paa la kawaida tu. Ukijichanganya kwenye hidden roof eti unapunguza gharama utaimba haleluya [emoji23]
  11. Mark Shafii

    SI KWELI Mama anayenyonyesha akifanya mapenzi anaweza kumdhoofisha (kumbemenda) mtoto

    Haha , acheni imani za kifala ... Hakunaga kitu kubemendwa [emoji19][emoji19][emoji19]
  12. Mark Shafii

    Toyota Hilux Surf (manual) 9,000,000

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  13. Mark Shafii

    Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

    Chochote inachosema biblia ambacho hakipishani Quran naamini lakini chochote kinachopishana siwezi kuamini.
Back
Top Bottom