Kwa mpenda haki yeyote akiona yanayotendeka kuanzia bungeni, kwa msajili, polisi na baadhi ya viongozi wa serikali unajiuliza kama ipo haja tena ya kupiga kura.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itafanya kazi vizuri ila kubadili kioo sio kama unavyofikiri au kuona wanavyobadili protector.
Kioo cha smart kimeungana na vikorokoro kibao na gharama ni kubwa.
Mfano nilipeleka s8plus kubadili kioo nikaambiwa laki 8 na ni kazi ya masaa 2 mpaka 3.
Nenda kwa mafundi wataalam vinginevyo...
Naiomba serikali yetu ya Tz ito msaada wa kama tani 500 au 1,000 za mahindi, maharage ili tuokoe maisha ya hawa jamaa. Ila kwa rushwa na ulafi ulioko huko sijui tani ngapi zitawafikia walengwa. Labda waturuhusu tugawe wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.