Recent content by marinemzee

  1. marinemzee

    Black Friday 29/11/2019 sale on Amazon

    Hivi hii ni dunia nzima si ndio
  2. marinemzee

    Je, wanawake wanaouawa kikatili na wapenzi huwa wanakuwa wameonewa au wanastahili kinachowapata?

    Kazi huwa anifanya izlaeri ya kutoa uhai binadamu anatumika tu
  3. marinemzee

    Aliyekuwa Mrakibu wa Polisi, Kinondoni akata rufaa dhidi ya hukumu yake ya kunyongwa hadi kufa

    Haya mambo usiombe tu yakatokea kwenye familia yako ila ya kitokea utaona tu jamaa km wanamchelewesha
  4. marinemzee

    Miradi mingi ya watumishi wa umma hufeli licha ya kuwa hodari ya kukopa kopa hela benki na kulalamika maisha magumu

    Mimi mwaka 2015 nilikopa ml10 na kuinywea bia yote lengo langu lilikua ninywe bia hadi basi afu niache kbs hadi sasa lengo langu limefanikiwa
  5. marinemzee

    Haya nawauliza swali tete humu ,kuhusu marafiki kuzungukana kimapenzi,mkiweza jibuni.

    Tuwe wakweli tu haya mambo yapo na yanafanyika kweli kweli hasa kwenye hizi kotaz
  6. marinemzee

    Mtanzania aliyepo Congo Kinshasa

    Mkuu take care utakuja kujikuta upo mikononi mwa ADF NARU kwa iyo kuwa makini sana huwa wanatumia sana kutafuta wataalamu kwa kuwadanganyia nafasi km hizo Sent using Jamii Forums mobile app
  7. marinemzee

    Hongera kwa JWTZ: Brigedia aliyekiuka maadili ya kazi astaafishwa kwa manufaa ya Umma

    Hapati kitu hapo mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. marinemzee

    Kwanini benki hakuna vyoo/maliwato kwa ajili ya wateja?

    Benki zote zina vyoo ukizunguka kwa nyuma Sent using Jamii Forums mobile app
  9. marinemzee

    Msaada Samsung J7 Prime imeingia maji

    Asante sana mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. marinemzee

    Msaada Samsung J7 Prime imeingia maji

    Kwa sasa sipo mjini mkuu ,vipi nikiiweka kwa muda wa miezi mitatu itakuja waka maana nategemea kuja mjini mwezi wa sita Sent using Jamii Forums mobile app
  11. marinemzee

    Msaada Samsung J7 Prime imeingia maji

    Wakubwa naomba msaada simu yangu imeingia maji,hii ni mara ya pili mara ya kwanza iliingia maji ya bahari nikaiweka kwenye mchele usiku kucha asubuhi ikawaka safi. Sasa jana tena imeingia maji ya kawaida nimeweka kwenye mchele lakini kumekucha nimejaribu kuiwasha imekataa kuwaka,naomba msaada...
  12. marinemzee

    Show room gan naweza kupata gari kama raum kwa bei isiyozid 10m

    Naweza Pata BMW X5 yenye cc 2000 kushuka chini Sent using Jamii Forums mobile app
  13. marinemzee

    Maisha halisi ya Burundi

    Ukiwa bar au club simu yako ikiitwa unaenda kaunta au kwa dj mziki unazimwa unaongea na simu yako ukimaliza wanaendelea kupiga mziki Sent using Jamii Forums mobile app
  14. marinemzee

    Serikali ya awamu ya 5 kuna tatizo kubwa sana kwenye mfumo wa utoaji haki

    Mkuu si ukajiunge na wale wenzio wa Kibiti si tyr wanae MUUNGWANA Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom