Habarini ndugu wana jamvi, poleni na shughuli za kila siku. Leo nawakaribisha tujadili au kukumbushana kuhusu Black Friday sale ya mwaka huu.
Black Friday inakaribia kwa kasi, kwa wale wajuzi wa mambo tuelimishane jinsi ya kununua kwenye Amazon kwani kuna hati punguzo nyingi sana.
Binafsi napata tabu sana pale napojaza adress ya nyumbani na kuambiwa haiwezi kutumwa huku. Msaada tafadhalini jinsi ya kujaza fomu hizo.
Karibuni.
Black Friday inakaribia kwa kasi, kwa wale wajuzi wa mambo tuelimishane jinsi ya kununua kwenye Amazon kwani kuna hati punguzo nyingi sana.
Binafsi napata tabu sana pale napojaza adress ya nyumbani na kuambiwa haiwezi kutumwa huku. Msaada tafadhalini jinsi ya kujaza fomu hizo.
Karibuni.