Recent content by mari3mar

  1. M

    Uzi wa vyakula tu

    Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Uzi wa vyakula tu

    Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Mkubwa Fella kugombea Urais wa Jamhuri 2040

    Ahimize serikali imalize lile daraja la kwa mzungu maana ni shida
  4. M

    Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

    Habari wakuu mm naomba ufafanuzi wa muda wa kazi kifungu namba 19 (2) . (a) siku sita ndani ya wiki. (b)masaa 45 kwa wiki. (c)masaa 9 kwa wiki.
  5. M

    NSSF kuna uzembe wa ajabu sana

    Umegusa jipu haswaa. Hao Nssf wana dharau sana umeachishwa kazi unaenda kufatilia michango yako unaambiwa ilokuwa haijaweka umalizane na ulikoachishwa kazi. Uanze upya unakuta hapo kampuni nayo inakuzungusha kukulipa.
  6. M

    Tunda gani hili?

    Mzaituni ni mti wenyewe ila lenyewe laitwa zaituni
  7. M

    Tunda gani hili?

    Zaituni
  8. M

    Baada ya kulalamikia Tigo na GB 5, Zantel nao wamepandisha gharama

    Mm nilikuwa nimejiunga na epic ya kila siku 500 una pews dakika 16 na mb 100 wamebadili wanatoa mb 10. Nikawambia hicho kifurushi cha wiki 1000 nimetafuta kianzio 3000 kwa 1gb kwa wiki yupo sahihi. Wala hawajatoa taarifa km wanabadilisha unakuta unakuta hela yko yte kwenye cm
  9. M

    Madereva wa Malori wamefunga Barabara ya Morogoro, baada ya mwenzao kupigwa risasi na mwajiri wake

    Tatizo yy hajui ndo maan kuibiwa nako kunasababishwa na wao wenyewe matajiri unakuta mtu posho ndogo then unarud unategemea return millage unakuta document kuna short. Na hii pia tatizo pump za kupakilia mafuta na kushusha mafuta ndo zaid kwenye matatizo ukiwaelezea matajiri waongee na wateja...
Back
Top Bottom