Umegusa jipu haswaa. Hao Nssf wana dharau sana umeachishwa kazi unaenda kufatilia michango yako unaambiwa ilokuwa haijaweka umalizane na ulikoachishwa kazi. Uanze upya unakuta hapo kampuni nayo inakuzungusha kukulipa.
Mm nilikuwa nimejiunga na epic ya kila siku 500 una pews dakika 16 na mb 100 wamebadili wanatoa mb 10. Nikawambia hicho kifurushi cha wiki 1000 nimetafuta kianzio 3000 kwa 1gb kwa wiki yupo sahihi. Wala hawajatoa taarifa km wanabadilisha unakuta unakuta hela yko yte kwenye cm
Tatizo yy hajui ndo maan kuibiwa nako kunasababishwa na wao wenyewe matajiri unakuta mtu posho ndogo then unarud unategemea return millage unakuta document kuna short. Na hii pia tatizo pump za kupakilia mafuta na kushusha mafuta ndo zaid kwenye matatizo ukiwaelezea matajiri waongee na wateja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.