Haijalishi tunampenda kiasi Gani mtu ambae kashindwa kwenye kura za maoni kwenye Jimbo Bali tuangalie Hata wajumbe walio piga kura kile wanacho kipenda Ina maaana ndo watakinadi.
Kuliko kuweka mtu Alie feli hivyo kwenye kampeni Kuna tuasilimia Fulani watu wakawa sio supportive.
Labda kwa wale...
Ubunge imekuwa kazi rahisi Sana hususani ukiwatazama watu kama Kibajaji,Msukuma,Mlinga,Lugola,Kessy Etc Kama role model wako kwenye Siasa But ukiwatazama Watu Kama marehemu Filikunjombe, Hussen Bashe, Tundu Antipas Lissu, Zitto Kabwe, Kafulila huwezi tamani kuwa mbunge maana Ni welevu...
Hicho unacho ongea ni kweli naunga mkono kwani katika hili viongozi wanapaswa kuandaliwa kwa jicho la maono zaidi
Maaana viongozi wazalendo nowdays Ni wachache mno good point sija kupinga.
Wingi wa wachukua Fomu mwaka huu umethibitisha kua Rais John Joseph Pombe Magufuli ni mtu aliyeleta Democracy ndani ya CCM Ni mtenda haki. Ameweza kuondoa udhalimu ulio kua unatendeka hapo zamani.
Umeonyesha kua Rais ni mtu wa wanyonge na Maskini kwani watu wengi zamani walikua wanashindwa...
Nina shida na processor ya Acer H5360 3D-DLP Projector ambayo unaweza ichomoa kwenye projector ambayo huna matumizi nayo labda ni mbovu iwe na umbo la mstatili na iwe katika Hali nzuri zinaingilia na kampuni ya BEINQ HD 3D nipo arusha 0752340373 kama una projector mbovu una weza nichomolea...
Samahani Wana jf nimekua nikihangaika kupata nafasi ya kuishi kwenye national house kama mtanzania wa kuoanga nyumba hizi ila sipati kila nikienda nakuta tuu wahindi wamejaa hapa Dodoma juzi tuu nyumba zimejengwa nimezikosa sasa nifanyeje ili niweze Pata jumba la kuishi la national house au...
Twende nakurudi mimi naona mkuu yupo sawa tuu maaana chuo Bila wa dada ni shida kwa kweli sawa najua kua nimeenda kusoma but kazi na Dawa bwana duuu upo sahihi mkuu njooo udsm
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha eti unaenda motoni kisa kubali dini nani Ana assurance na dini yake kua iko salama salimini?? Kua utaenda peponi????? Angalia tuu matendo ya dini yenu na ya mwenzio kupi kuna maadili ukiridhika tembea na zako
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli maana mtu a sex yeye mimba apate yeye na kaenda shule kusoma au kufanya mapenzi so nimachaguo tuu ukitaka soma kama hutaki zaaa ni uchaguzi wa mtu
Mimi naona huyu anasema ukweli maana wapo watu kibao wenye sifa na wanakosa mikopo halafu una mwita tapeli kivipi wewe usimpe hela nenda Chuo toa ada yote nenda cafeteria mlipie msosi mwaka mzima mbona kawambueni kuwa msimpe hela acheni majungu hamna misaada mnambana tu kijana wawatu kachoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.