Recent content by Marco Mhagama

  1. Marco Mhagama

    GE2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020

    Haijalishi tunampenda kiasi Gani mtu ambae kashindwa kwenye kura za maoni kwenye Jimbo Bali tuangalie Hata wajumbe walio piga kura kile wanacho kipenda Ina maaana ndo watakinadi. Kuliko kuweka mtu Alie feli hivyo kwenye kampeni Kuna tuasilimia Fulani watu wakawa sio supportive. Labda kwa wale...
  2. Marco Mhagama

    Shime watanzania, Rais kasema tuwapime watia nia wetu maana yake ni hii...

    Ubunge imekuwa kazi rahisi Sana hususani ukiwatazama watu kama Kibajaji,Msukuma,Mlinga,Lugola,Kessy Etc Kama role model wako kwenye Siasa But ukiwatazama Watu Kama marehemu Filikunjombe, Hussen Bashe, Tundu Antipas Lissu, Zitto Kabwe, Kafulila huwezi tamani kuwa mbunge maana Ni welevu...
  3. Marco Mhagama

    Wingi wa watia nia unahusiana moja kwa moja na demokrasia kwa taifa letu

    Na yote hayo kwenye thread yangu ukifutilia nimeongelea.
  4. Marco Mhagama

    Wingi wa watia nia unahusiana moja kwa moja na demokrasia kwa taifa letu

    Hicho unacho ongea ni kweli naunga mkono kwani katika hili viongozi wanapaswa kuandaliwa kwa jicho la maono zaidi Maaana viongozi wazalendo nowdays Ni wachache mno good point sija kupinga.
  5. Marco Mhagama

    Wingi wa watia nia unahusiana moja kwa moja na demokrasia kwa taifa letu

    Wingi wa wachukua Fomu mwaka huu umethibitisha kua Rais John Joseph Pombe Magufuli ni mtu aliyeleta Democracy ndani ya CCM Ni mtenda haki. Ameweza kuondoa udhalimu ulio kua unatendeka hapo zamani. Umeonyesha kua Rais ni mtu wa wanyonge na Maskini kwani watu wengi zamani walikua wanashindwa...
  6. Marco Mhagama

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wale walio beti leo mtu tupie mikeka wazee wa ku copy and paste tupo hapa na tuweze kuchambua pia
  7. Marco Mhagama

    Natafuta Processor Ya Projector Ya Acer Mwenye Nayo Ambayo Ni Used Na Ina Umbo la mstatili Please nisaidie

    Nina shida na processor ya Acer H5360 3D-DLP Projector ambayo unaweza ichomoa kwenye projector ambayo huna matumizi nayo labda ni mbovu iwe na umbo la mstatili na iwe katika Hali nzuri zinaingilia na kampuni ya BEINQ HD 3D nipo arusha 0752340373 kama una projector mbovu una weza nichomolea...
  8. Marco Mhagama

    Hivi nikitaka kukaa national housing nifanye nini

    Samahani Wana jf nimekua nikihangaika kupata nafasi ya kuishi kwenye national house kama mtanzania wa kuoanga nyumba hizi ila sipati kila nikienda nakuta tuu wahindi wamejaa hapa Dodoma juzi tuu nyumba zimejengwa nimezikosa sasa nifanyeje ili niweze Pata jumba la kuishi la national house au...
  9. Marco Mhagama

    Ardhi kuna mabinti wa kutosha...?

    Twende nakurudi mimi naona mkuu yupo sawa tuu maaana chuo Bila wa dada ni shida kwa kweli sawa najua kua nimeenda kusoma but kazi na Dawa bwana duuu upo sahihi mkuu njooo udsm Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Marco Mhagama

    Nilivyovuka vikwazo vya kidini kutetea penzi

    Hahahaha eti unaenda motoni kisa kubali dini nani Ana assurance na dini yake kua iko salama salimini?? Kua utaenda peponi????? Angalia tuu matendo ya dini yenu na ya mwenzio kupi kuna maadili ukiridhika tembea na zako Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Marco Mhagama

    Rais Magufuli: Sitasomesha Wanafunzi waliopata ujauzito, siwezi kusomesha Wazazi

    Ni kweli maana mtu a sex yeye mimba apate yeye na kaenda shule kusoma au kufanya mapenzi so nimachaguo tuu ukitaka soma kama hutaki zaaa ni uchaguzi wa mtu
  12. Marco Mhagama

    Kwa walimu waliopo kazini na kwa mtu yeyote atakayeguswa

    Mimi naona huyu anasema ukweli maana wapo watu kibao wenye sifa na wanakosa mikopo halafu una mwita tapeli kivipi wewe usimpe hela nenda Chuo toa ada yote nenda cafeteria mlipie msosi mwaka mzima mbona kawambueni kuwa msimpe hela acheni majungu hamna misaada mnambana tu kijana wawatu kachoka...
Back
Top Bottom