Marco Mhagama
Member
- Jun 7, 2016
- 30
- 15
Samahani Wana jf nimekua nikihangaika kupata nafasi ya kuishi kwenye national house kama mtanzania wa kuoanga nyumba hizi ila sipati kila nikienda nakuta tuu wahindi wamejaa hapa Dodoma juzi tuu nyumba zimejengwa nimezikosa sasa nifanyeje ili niweze Pata jumba la kuishi la national house au wahindi Wana wakala wao ambae anawapa hizi offer??? Na kama kuna wakala naomba ajitokeze hapa dodoma anifanyie mpango
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app