Binafsi mimi mwenyewe nipo njia panda maana ile kamati ya bunge ilisema moja ya sababu kubwa ni kupandishwa kwa kodi lakin waziri naye amekuja na sababu zake hizo ambazo ni za kitaalamu hivyo ngoja tuendelee kuangalia tuone mwisho wake.
kauli zake kimsingi zimekuwa zikileta tafsiri tofauti hivyo kuleta mitazamo tofauti miongoni mwa makundi ya watu ndani ya jamii,sijajua aina ya siasa ambazo anataka twende nazo lakini kama ndio hizo za vitisho na kufanya maamuzi bila kufanya tafakari ya kina kwa aina ya kizazi cha kuoji...
waingereza wanasema medium affect the message,hivyo basi binafsi sikuona kama ni vizuri kwa kiongozi wa nchi kutumia kauli kama hizo tena kwenye mkutano wa hadhara wakati akijua wazi kuwa kuna mkwamo wa kisiasa visiwani huko,rais angeweza kutoa kauli ambazo zingeleta walau suluhisho la mkwamo...
Serikali kuwakandamiza walimu inakandamiza elimu yetu na uchumi wetu kwa ujumla,uwezi inua uchumi kama elimu ya nchi inasuasua na ukizungumzia elimu unazungumzia wawezeshaji ambao ni walimu,serikali isipolipatia ufumbuzi suala ili tutaendelea kuwa chini kiuchumi tukizidiwa na nchi nyingine ndogo...
viongozi wa serikali wasipokuwa makini na kutumia muda mwingi kupambana na vyama vya upinzani hadi kufikia mwaka 2020pengine kutakua hakuna mabadiliko makubwa kwenye hali za kimaisha za watz weng.My take viongozi wa serikali waache kutafuta kiki za kupambana na wapinzani bali waelekeze nguvu...
Hilo suala lisipo tolewa ufafanuzi wa kina kwa wananchi linaweza likaleta utata ndani ya jamii kwasababu mwenyekiti ndiye anatakiwa kubeba taswira ya chama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.