Niko tayari kufa..Lissu kapigwa risasi na askari...RAIA gani anaweza kuingia kwenye makazi ya viongozi wakati kuna wanajeshi wanalinda ...tusipindishe maneno...Mbowe toa ushahidi hadharani dunia yote ijue kuna Bokassa mpya kazaliwa
Matajiri wa Yanga jitokezeni timu ina hali mbaya...dirisha dogo linakuja tufanye usajili wa maana hata wachezaji wapya watano...Mohammed issa na Selemani Kihimbwa(Mtibwa)...Marcel na Peter Mapunda(Majimaji) ...Shahibu Kiyombo (mbao fc) na Bossou arudishwe kikosini...Believe me Yanga itakuwa...
Naenda kununua land rover ya kitambo nafunga ngao ya chuma cha pua .naanza kuzunguka mwezi mzima mjini...ukijichanganya uso kwa uso ...nimemkumbuka Dumisa Dube
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.