Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,646
Haijalishi. Yule Rand Orton mcheza mieleka ya WWE pamoja na ubabe woote uke kumbe ni CHAKLA. Kuliwa kumbe hakuondoi nguvu.....Angekuwa kweli ' Chakula / Bwabwa / Punga ' angeweza ' Kuupiga ' vizuri vile Fabo / Mpira Mkuu? Sema tu nae aliharibu tu kule kuvalia kile ' Kikuku ' chake Mguu wa Kushoto ndiyo maana ' Masela ' wakahitimisha kwamba huenda ' anashindiliwa ' Kibaiolojia na Mikuyenge ya ' Madume ' wa down town.
Hata huyu dogo papii naye yawezekana aliwa lakini mashuti ya mupira yako vilevile...