Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Tunachotakiwa kujadili ni UHURU wa kuonge na kujadili mustakabali wa TAIFA letu.Na unapokuwa umeamua kuwa MTAWALA basi hakikisha unajua kwamba umeamua kuwa Mkubwa,na UKUBWA ni JALALA ambalo taka zote huwekwa humo.
Kawaida ya JALALA ni kutolalamika,hata vitupwe visivyotakiwa kutupwa halilalamiki hukubali yote na kuhifadhi yote.
Wakubwa hawa wakishajua kwamba wao ni MAJALALA basi watuache watanzania tunaowalisha na kuwavisha tutupe uchafu humo.Uchafu mwingine ni wa kwao wao wenyewe.Na ukifanya mema yale mema ni sawa na kupunguza uchafu kwenye JALALA.
Wanaompelekea mkuu maneno ya mitandaoni wamweleze tu Mkuu UKUBWA ni JALALA
Kawaida ya JALALA ni kutolalamika,hata vitupwe visivyotakiwa kutupwa halilalamiki hukubali yote na kuhifadhi yote.
Wakubwa hawa wakishajua kwamba wao ni MAJALALA basi watuache watanzania tunaowalisha na kuwavisha tutupe uchafu humo.Uchafu mwingine ni wa kwao wao wenyewe.Na ukifanya mema yale mema ni sawa na kupunguza uchafu kwenye JALALA.
Wanaompelekea mkuu maneno ya mitandaoni wamweleze tu Mkuu UKUBWA ni JALALA