Recent content by Maprosoh

  1. Maprosoh

    Brightermonday.com ni jipu

    Mzeebaba profile wanabuild vipi? May be tunaichukia bm sababu hatuijui vizuri Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Maprosoh

    Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

    Uandishi wako unanitia mashaka Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Maprosoh

    Mshana Jr akatoa mzinga wa Konyagi, binti akatoa KY gel

    Hivi kirefu cha KY ni nini? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Maprosoh

    Kuendesha magari "IT" kutoa bandarini kupeleka nchi jirani

    Mkuu hizo hazitangazwagi we tembelea maofisi ya wanadeal na izo ishu mfano Malawi Cargo unaeza pata Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Maprosoh

    Pata Acca pamoja na cpa kwa kufanya masomo tisa tu...Msiteseke kama sisi

    Sijaelewa Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Maprosoh

    Supu ya mkia wa Kondoo : Dawa kwa mwanaume aliyelawitiwa

    Mkuu hiyo tiba inaweza kututibia james delicious tumnyweshe kilazima?
  7. Maprosoh

    Kwa watumiaji wa pombe, ipi ndio chaguo lako!

    K-vant+Tonic+ice Nyagi+tonic Magic moment Capten Morgan babayao
  8. Maprosoh

    Homa ya ATCL yawakumba Fastjet

    Vita ya wafanyabiashara huwa furaha kwa wateja
  9. Maprosoh

    Job Opportunity: BURSAR / ACCOUNTANT

    Mkuu ni kweli nafasi ipo na raia wataiomba sababu kuna CPA nyingi tu zipo mtaani. Ila ni vema mkareview Hr plan yenu na jinsi ya kuhandle empoyee turnover na fraud, unless uyu mtu mnamuhitaji for short time. Otherwise mtakuwa mnaingia training cost kubwa na pia kutengeneza mazingira ya kuibiwa...
  10. Maprosoh

    Job Opportunity: BURSAR / ACCOUNTANT

    Ule msoto wa kuchomoa performance management (B5) na corporate report (C1) alafu net salary nile mia 7+. Tafuten mtoto wa diploma tu
  11. Maprosoh

    Mkiambiwa kwamba ' naturally ' Wanawake ni Wanafiki na wana roho mbaya msiwe mnabisha!

    Me siishi nao kiakili naishi nao kikatili, ndio maana kwenye kugombania usafiri uwa nawatia mapush na makonga ya kutosha hadi mawigi yanawavuka. Ata ofisini wakileta CV zao kishubwada uwa nazitia kwenye bin. Sio watu awa walifanya Adam afukuzwe Eden.
  12. Maprosoh

    Naombeni msaada wa mawazo wadau.

    Nazani unaweza kujisajili kama private ukafanya pepa, pia kuna centre zinaendesha online review classes check na convenant financial consultancy au cornerstone
  13. Maprosoh

    Kupauka kwa rangi ya gari ni kosa?

    Mkuu huyo mama ukikaa vibaya anatiaga na makofi ya uso nmeshuhudia mara kadhaa
Back
Top Bottom