Unamdai Mchaga pesa Yesu na Maria!! Wewe ndio Simbilisii kweli Yaani yeye atoke Machame kuja mjini kutafuta pesa wewe unadai? Kwanza unatakiwa utoe pesa nyingine haraka maana huna asili ya kukaa na pesa peleka kwa Mbowe haraka mwenye asili ya mapesa
Gwajima ni mdudu gani ndani ya Taifa.wewe tulia muda.si mrefu utajua GWAJIMA ni kama sisimizi tu.nyinyi mnaomyenyekea huko Kanisani kwake ndio mnomuona.Mungu wenu
Hii safari kila mmoja ataongea lake Je ni mara ya kwanza Lowassa haya kumtokea? Hii nchi haiko vile mnavyofikiri hata Kikwete alikuwa hambebi Membe. MAGUFULI ndio aliandaliwa mapema sana na hata alipochukua FOMU na kwenda kwa namna alivyoenda katika kutafuta Wadhamini ni maelekezo Lakini...
Sasa kama wanasema hazijakiukwa yeye analazimisha je zimekiukwa? Kingunge mwenyewe ndie mmoja wa chanzo cha LOWASSA KUKATWA CCM maana alikwenda kwenye Mkutano wa hadhara wa SAFARI YA MATUMAINI kwa maana ya kwamba walianza kampeni mapema na kinyume cha utaratibu
Mzee Kingunge haiwezekani kamwe nchi kuongozwa kutokana na Mahaba kwa Lowassa, yaani umejidhalilisha na hata ongea yako ilikuwa inakusuta.sisi CCM tunasema RAISI WA TANZANIA AWAMU YA TANO NI JOHN MAGUFULI
Mtoto halali na pesa wewe siunajua mahesabu? Bilioni 10 ziachwe? Wakati wanajua hata angesimama Dr.ni lazima chali kwa hio bora kuvuta mkwanja maisha yaendelee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.