Wadau, nikiwa kama mhusika mkuu kwenye kesi. Napenda kuwahakikishia wanajamii pamoja na watanzania kwa ujumla kwamba Uamuzi wa mhe Mbatia wa kiuifuta kesi dhidi yangu ni dhamira yake njema ya kulinda maslahi mapana ya upinzani nchini. Nimesoma comments za wanajamii kadhaa ,baadhi yao wakifikiria labda kuna 'chochote kilichotolewa''ili kufanikisha kufutwa kwa kesi hiyo . Niwahakikishieni kwamba hakuna kilichotolewa zaidi ya nia njema ya pande zote mbili. Kwa waliokuwa wakijipanga kukomboa jimbo kwa gharama yoyote imekula kwao!
Najua mengi yatasemwa...lakini haiwezekani kuzuia binadamu kuzungumza. Nichukue fursa hii kuwashukuru kwa dhati timu ya CHADEMA (chama changu) na NCCR MAGEUZI kwa kulifanikisha hili.
Mh Mdee, NCCR Mageuzi (james Mbatia) wamefuta kesi kwa mustakabali wa wananchi wa kawe na Dsm kwa ujumla. Nikuombe uwaombe viongozi wenzio wa kamati kuu wakubali muafaka wa umeya arusha kwa mafanikio ya wana arusha.If a=b, b=c then a=c. that is another episode in politics.Wadau, nikiwa kama mhusika mkuu kwenye kesi. Napenda kuwahakikishia wanajamii pamoja na watanzania kwa ujumla kwamba Uamuzi wa mhe Mbatia wa kiuifuta kesi dhidi yangu ni dhamira yake njema ya kulinda maslahi mapana ya upinzani nchini. Nimesoma comments za wanajamii kadhaa ,baadhi yao wakifikiria labda kuna 'chochote kilichotolewa''ili kufanikisha kufutwa kwa kesi hiyo . Niwahakikishieni kwamba hakuna kilichotolewa zaidi ya nia njema ya pande zote mbili. Kwa waliokuwa wakijipanga kukomboa jimbo kwa gharama yoyote imekula kwao!
Najua mengi yatasemwa...lakini haiwezekani kuzuia binadamu kuzungumza. Nichukue fursa hii kuwashukuru kwa dhati timu ya CHADEMA (chama changu) na NCCR MAGEUZI kwa kulifanikisha hili.