Mangi shop
Member
- Dec 29, 2012
- 65
- 3
Umetumwa ccm chali mwàka huu.na ww achana na siasa kama alivyo silaa.
Hicho ndicho mlichotumwa kukifanya katika final 30 days za kampeni. Hivi ninyi mna fikra za aina gani? Mnafikiri watanzania wanaweza wakasahau mateso waliyoyapata kwa miaka zaidi ya 50 kwa huo upuuzi mtakaopost kwenye social networks kwa siku 30. Eti chadema asilia unajua hata maana ya demokrasia wewe. Nenda kawambie waliokutuma machungu ya miaka 50 hayasahauliki.....Wana jf
Nikiwa kama mkereketwa na mfuasi wa Dr Slaa nazidi kuhamasisha wanachama na wapenzi wa chadema asilia kufuata na kuenzi mawazo ya kamanda wetu wa ukweli ambaye tunapaswakujiuliza yafuatayo
1) ni kwa nini mchakato wa kutafuta mgombea urais haukufuatwa kama ilivyokuwa imepangwa.
2) ni kwa nini mtu amechukua takribani wiki 2 tu tangu alipohamia kutoka ccm na kuteuliwa kuwa mgombea urais
3) ni kwa nini viongozi waandamizi makamanda walitupwa nje hivihivi bila kuthamini michango yao
4) ni kwa nini yule fisadi mkuu kutoka ccm kama mlivyokuwa mnatuhubiria na kupitia magazeti ya mwanahalisi pia tuliamua kumkumbatia. Ni nani alimsafisha ?
5) ni kwa nini viongozi wetu mliamua kuwachukua makapi yote kutoka ccm wakati mliapa hamtachukua tena makapi kutoka ccm.
6) makamanda mnazungumzia mfumo gani huu wa ccm ambao ni mbaya na ukilinganisha na limfumo baya zaidi kupita yote niliyotaja hapo juu. Tunaweka misingi gani ya utawala bora ?????
Tafakari chukua hatua haraka !!
Unapoona mtu anadhubutu kunyanyua mdomo wake huku akimsifu lowasa kua nikamanda na akimtuhumu dr.slaa kua ametumwa na CCM mtu huyo muangalie kwa jicho la tatu. Watu wanahoji vitu vya msingi wewe unakuja na tuhuma zako ambazo hazina hata kamshiko. Lowasa amewalisha nini nyinyi? lowasa shida yake yeye awe rais na sio kutatua kero za watanzania kamaanavyo jinasibu kwenye majukwaa. Angekua ana nia ya kutatua asingetuibia kias hicho. Kama lowasa alikua anaona CCM, mfumo wake ni mbaya na hakuna demokrasia kwanini walichukua fomu ya urais? watanzania ifike mahali tuziache akili zetu zifanye kazi natupunguze mihemko ya vyama vya siasa "Politician ain't humanitarian" tunakazi ya kuijenga Tanzania yetu. Epuka matapeli
Pamoja kamanda tuko pamoja katika hilo.
Pamoja sanaUnapoona mtu anadhubutu kunyanyua mdomo wake huku akimsifu lowasa kua nikamanda na akimtuhumu dr.slaa kua ametumwa na CCM mtu huyo muangalie kwa jicho la tatu. Watu wanahoji vitu vya msingi wewe unakuja na tuhuma zako ambazo hazina hata kamshiko. Lowasa amewalisha nini nyinyi? lowasa shida yake yeye awe rais na sio kutatua kero za watanzania kamaanavyo jinasibu kwenye majukwaa. Angekua ana nia ya kutatua asingetuibia kias hicho. Kama lowasa alikua anaona CCM, mfumo wake ni mbaya na hakuna demokrasia kwanini walichukua fomu ya urais? watanzania ifike mahali tuziache akili zetu zifanye kazi natupunguze mihemko ya vyama vya siasa "Politician ain't humanitarian" tunakazi ya kuijenga Tanzania yetu. Epuka matapeli
Hilo liko wazi bado wapo wanachadema wengi tu ambao wanasimamia misingi ya Chadema asilia, sio hii ya Mbowe kubadili gia angani na kuuza chama.Tumieni akili hata mnapotunga huo uongo title inasema "Msimamo wa chadema asilia" phrase ya kwanza unaandika mfuasi wa Dr. Slaa are you crazy? Aliyewatuma hakuwafundisha?
ni muhimu kutambua Nguvu ya upinzani na siyo Nguvu ya chadema. Umoja ni Nguvu , utengano ni dhaifu. Kwa hiyo twende mbele na tuone ukubwa wetu na mapungufu yetu ndani ya Ukawa, kumbuka kampeni za miaka ya nyuma , dhihaka kubwa ya CCM ili kuwa udini, kuwa chadema ni wakristo, na CUF Waisilamu, umeona tumeungana imekufa, hawa shambulii vyama tena wanamshambulia mtu - lowassaHilo liko wazi bado wapo wanachadema wengi tu ambao wanasimamia misingi ya Chadema asilia, sio hii ya Mbowe kubadili gia angani na kuuza chama.
Wagombea ubunge na udiwani wa Chadema, wengi sasa wanapigania maslai yao kwa maana ya viti wanavyoviwania.
Utashangaa baada ya uchaguzi dharau za wabunge zitavyoibuka dhidi ya Chama, ule utiifu kwa chama wote umeisha, Na mpaka sasa ndani ya Chadema hakuna wa kusimamia wala kufuatilia maendeleo ya wagombea majimboni zaidi ya wao wenyewe kukuruka.
Sasa hivi huwezi kuona umoja kama ule wa awali, wabunge kusaidiana kwenye majimbo, mbunge wa jimbo A kwenda kusaidia mgombea wa jimbo B.
Nakumbuka 2010 wabunge wengi sana kama sio wote walitembeleana majimboni, kupeana nguvu na kubadilishana uzoefu lakini leo kila mtu na lwake.
Sasa hivi hakuna vikao vya kamati kuu kujadili mwenendo wa kampeni , ila Kuna vikao vya Mbowe na Team Lowassa.
Hakuna matamko ya Chama, ila Kuna matamko ya team Lowassa, Mbatia akiwa akitangulizwa mbele kama kondoo wa kafara.
Yuko wapi John Mnyika Naibu katibu mkuu Bara, yuko wapi Tumaini Makene msemaji wa Chama, Salumu Mwalimu ni kama anaburuzwa tu , japo alizunguka Tanzania nzima na watu tukamwelewa kuwa kijana ni hazina ya chama lakini leo kapotelea wapi? hatujui pengine nafsi inamsuta kwa kutenda asiyoyaamini.
Kwa kweli bado naiota Chadema yangu ya awali, Chadema ya kujitolea, Bila kujali gharama ama muda.
Japo sijui itarudi lini lakini bado naiota, Chadema ya makamanda wa ukweli sio hao wa sasa wa plastic.
Chadema ya Silinde, Lema, Sugu , Wenje, Lisu, Mdee, Mnyika, Msigwa wakiongea utapenda uendelee kuwasikiliza.
Na ndio waliochangia vijana wengi kujikita kwenye siasa kuanzia serikali za mitaa mpaka ubunge, sasa hivi si ajabu kijana wa miaka ishirini ni mwenyekiti serikali za mitaa, Madiwani ndio kabisa vijana wadogo kabisa ndio wanawania.
Ila hii Chadema ya Sumaye, Masha, Babu duni, duh!! Mungu atunusuru.
Mwizi huishia mahakamani, mimi , wewe na Yule, wote tunaongozwa na utawala wa Sheria, ogopa kumhukumu mtu kwa hisia hata mungu hapendi. Tunacho hangaika Nacho ni mfumo MBaya wa CCM, utawala mbovu, rushwa, tume huru nk. Hatuwezi kupigana vita hivi bila kuongeza nguvu za wengine, na kwa UCHAGUZI huu sumaye, lowassa wametuongezea nguvu sana , cha maana ni tutaishia wapi, na Mbele kukoje. Nina hakika idadi ya Viti bungeni, udiwani vitaongezeka, sina hakika na uraisi , lakini hivi lazima uwakilishi utaongezeka. Mfumo huu Ndiyo unakuza vyama. Hata mpira yanga, au Simba, au Barcelona. Wote wanaleta mastaa kutoka nje kwa bei za kutupaUnapoona mtu anadhubutu kunyanyua mdomo wake huku akimsifu lowasa kua nikamanda na akimtuhumu dr.slaa kua ametumwa na CCM mtu huyo muangalie kwa jicho la tatu. Watu wanahoji vitu vya msingi wewe unakuja na tuhuma zako ambazo hazina hata kamshiko. Lowasa amewalisha nini nyinyi? lowasa shida yake yeye awe rais na sio kutatua kero za watanzania kamaanavyo jinasibu kwenye majukwaa. Angekua ana nia ya kutatua asingetuibia kias hicho. Kama lowasa alikua anaona CCM, mfumo wake ni mbaya na hakuna demokrasia kwanini walichukua fomu ya urais? watanzania ifike mahali tuziache akili zetu zifanye kazi natupunguze mihemko ya vyama vya siasa "Politician ain't humanitarian" tunakazi ya kuijenga Tanzania yetu. Epuka matapeli
Mbona hujaenda na Slaa America kama ni mfuasi wake? Muda wa kuwa mfuasi wa mtu umekwisha. Uchaguzi wa mwaka huu theme yake kuu ni kubadilisha mfumo. Mtu baadayeWana jf
Nikiwa kama mkereketwa na mfuasi wa Dr Slaa nazidi kuhamasisha wanachama na wapenzi wa chadema asilia kufuata na kuenzi mawazo ya kamanda wetu wa ukweli ambaye tunapaswakujiuliza yafuatayo
1) ni kwa nini mchakato wa kutafuta mgombea urais haukufuatwa kama ilivyokuwa imepangwa.
2) ni kwa nini mtu amechukua takribani wiki 2 tu tangu alipohamia kutoka ccm na kuteuliwa kuwa mgombea urais
3) ni kwa nini viongozi waandamizi makamanda walitupwa nje hivihivi bila kuthamini michango yao
4) ni kwa nini yule fisadi mkuu kutoka ccm kama mlivyokuwa mnatuhubiria na kupitia magazeti ya mwanahalisi pia tuliamua kumkumbatia. Ni nani alimsafisha ?
5) ni kwa nini viongozi wetu mliamua kuwachukua makapi yote kutoka ccm wakati mliapa hamtachukua tena makapi kutoka ccm.
6) makamanda mnazungumzia mfumo gani huu wa ccm ambao ni mbaya na ukilinganisha na limfumo baya zaidi kupita yote niliyotaja hapo juu. Tunaweka misingi gani ya utawala bora ?????
Tafakari chukua hatua haraka !!