Kwa anayejua please Bachelor of science in Food Science and Technology ya SUA wanakubali watu waliosoma PCM au ni lazima uwe na Biology? Nimeangalia website yao entry qualification wamesema Chemistry and Biology/Physics/Nutrition na masomo mengine, kwa uelewa wangu ni kafikiri core subject hapo...
Mwl. RCT heshima kwako nimepitia thread nzima leo nimejifunza mengi ambayo nilikuwa sielewi na nimeona fursa kubwa sana hapa. Asante kwa kila mmoja na JF kwa ujumla hii ni shule kubwa. Naahidi muda ukifika nitakutafuta Mwl. Ubarikiwe saana
Asante ndugu kwa mrejesho, haimanishi kuwa sina access na internet ila kuna benki ambazo hazijaonyesha hiyo rate kwenye website zao. Na nilifikiri kuwa Jamii forums kuna watu wenye uelewa and taarifa sahihi ya rates mbalimbali.
Naomba kujua kama kuna benki kwa sasa nchini inayotoa asilimia 15 (15%) faida kwa fixed deposits katika hela ya kigeni. Kwa maana rahisi nataka kujua kama nikiwekeza dola laki moja ($ 100,000) katika fixed deposits kwa sababu nataka kutunza fedha itakayowasomesha watoto wangu huko mbeleni. Je...
Kuna post ni kama ulisema investment kwenye treasury bond beyond five years haina kodi, je ni sahihi? Na endapo nimeamua kuwekeza kwa miaka 15 je wanaweza kunipa faida kwa mwezi au miezi mitatu nikitaka au nitakuwa nasubiri mpaka mwisho wa mwaka? Nimejaribu kupiga kwa milioni mia mbili...
Hi BilltheKID Asante kwa ufafanuzi huu. Inavyoelekea kuwekeza kwenye bond kunalipa na risk ni ndogo ila najaribu kuangalia kuwa nikiwekeza milioni mia moja kwa miaka 7 na inflation ikapanda siku wakinirudishia fedha yangu baada ya miaka saba hata kama ina faida mbili kwa maana ya discount na...
Vipi kuhusu Arusha eneo la maji ya chai, una uzoefu au taarifa yoyote ya maji yanaweza patikana baada ya mita ngapi? Na je habari ya kuyapima kwanza kama yanafaa kwa matumizi ya binadamu kabla ya kuchimba hilo nalo linawezekana? ili isije kuwa tukachimba mpaka mita mia na baadaye tukagundua maji...
Documents zanazotakiwa ni cheti chako original cha kuzaliwa, cheti cha kuzaliwa/au affidavity ya mmoja wa mzazi wako na nyaraka zinazoonyesha sababu ya safari k.m shule, biashara, kumtembelea mtu, kazi nje ya nchi etc. Kumbuka lazima uthibitishe kwamba kweli unataka kusafiri otherwise wanaweza...
Hivi kuna benki inayokubali fixed deposits za dola (foreign currency) na kama ndiyo interest rates zao zikoje? Kwa mfano nikiwapa dola 50,000 kwa muda wa miezi mitatu, sita au kumi na mbili watanipa ngapi? Upande wangu naona kuwa itakuwa bora kuweka fixed deposits kwa fedha za kigeni kuliko haya...
Ntilavano nafikiri aliyekupigia ametumia Skype, kwani binafsi naitumia na nikimpigia wife mara nyingi anaona namba za ajabu ajabu lakini kwangu alishazizoea.
Kuna nchi wanakugongea mhuri na kuonyesha siku utakazokaa hapa ni kwa nchi ambazo kama mtanzania unaruhusiwa kuingia pasipo kuprocess visa ubalozi kwanza au kwa lugha nyingine mtanzania aruhusiwa kuingia bila VISA. Kwa mfano Mtanzania ukiwa na pasipoti yako unaruhusiwa kwenda South Africa lakini...
Niliona tangazo la benki ya posta kwenye gazeti ilikuwa inaonyesha 10% kwa mwezi mmoja na inaongezeka kulingana na pesa yako itakaa muda wa miezi mingapi kwa mwaka. Unaweza kutembelea benki ya posta kwa ufafanuzi zaidi
Kwa wale tunaotoka Wilaya mpya/ Mikoa mipya swali la ulizaliwa wilaya ipi unalijibu vipi?
Kwa mfano wakati nazaliwa tulikuwa Wilaya ya Kasulu na cheti changu cha kuzaliwa ni Wilaya ya Kasulu lakini kwa sasa kijiji changu kiko kwenye wilaya mpya ya Buhigwe.
Ninapoulizwa swali hilo sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.