toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,626
Same to me sijawahi kuibiwaHakuna wizi.
Sijawahi kukumbana na hili tatizo kwa upande wangu.
Same to me sijawahi kuibiwaHakuna wizi.
Sijawahi kukumbana na hili tatizo kwa upande wangu.
Hua unalipaje?Salaam wanajukwaa
Kwanza niseme kuwa nachofurahi toka nimeanza kuagiza vitu mtandaoni aliexpress ya alibaba sijawahi kuibiwa au mzigo kupotea nimewahi kuagiza vitu tofauti zaidi ya mara 40 na vikafika vyote
Sasa hivi kuna parcel mbalimbali kama kumi hivi tofauti tofauti nimeagiza
Ila kuna parcel moja nimenunua aliexpress nimetumiwa kupitia posta ambayo kiukweli sikuwahi kuijua au kuwa na uzoefu nayo nayo bpost au beligium international post
Wajuzi ambayo mshawahi kutumia hii posta tafadhali nambieni inachukua siku ngapi mzigo kufika?
Malipo nafanyaje?Swali lolote kuhusu kuagiza chochote aliexpress nitakujib hapa
Hii ni kwa wale wanaojua tayar ila kuna vitu vinawapa hofu au kuna mahali hawaelewi
unatumia MasterCardMalipo nafanyaje?
Thank youunatumia MasterCard
Wana system yao ipo kama paypal wanaita "alipay" hapa unalink card yako unalipa then zile pesa wanazishikilia mpaka utakapothibtisha umepokea mzigo ndo seller analipwa otherwise km hujapata mzgo wanakurefundMalipo nafanyaje?
alipay mbona kama kwa tz inakataa unga.maana sijaona.katika list nchi ya tzWana system yao ipo kama paypal wanaita "alipay" hapa unalink card yako unalipa then zile pesa wanazishikilia mpaka utakapothibtisha umepokea mzigo ndo seller analipwa otherwise km hujapata mzgo wanakurefund
Mbona sasa inasemwa kuwa huduma za PAYPAL kwa bongo hazifanyi kazi, yaani BOT haijaruhusu kisheria. Nimeisoma humuhumu jukwaani juzi tu, mdau alikuwa analalamika. Hebu nieleweshenI hapoAhsante mkuu kwa mchango wako. Ila me debit card yangu inazingua kulink na paypal. Billing address iko sawa ila wanazingua
Kitu ambacho kinanipa shida mpaka Sasa hivi ni zip code mjuvi wa hili atujuze
asante sana kwakunifungua akiliAhsante mkuu kwa mchango wako. Ila me debit card yangu inazingua kulink na paypal. Billing address iko sawa ila wanazingua
Hakuna utapeli, labda mwenyewe ndio utake kutapeliwa..Utapel ndo unaoniogopesha kununua vitu mtandaoni