hashimrashidy
Senior Member
- Sep 11, 2015
- 197
- 145
Jamani naomba msaada wen, mdogo wangu wa amechaguliwa kozi mbili kujiunga elimu ya chuo kikuu.
Moja ni Bachelor of science Food science and technology SUA morogoro na nyingine ni Bachelor of Computer information Security chuo cha UDOM.
Naomba kujua ktk mambo yafuatayo ili tupate vigezo vya kuchagua
1. Hizo cozi hasa Food science and technology ina husika na nini hasa na mhitimu anatarajiwa kufanya kazi ktk nyanja ipi? Vipi wigo wa ajira/ kujiajiri hapa
2. Hizo KOZI ya Computer information Security ina husika na nini hasa na mhitimu anatarajiwa kufanya kazi ktk nyanja ipi? Vipi wigo wa ajira/ kujiajiri
Wenye ufahamu mnisaidie Tafadhari.
Moja ni Bachelor of science Food science and technology SUA morogoro na nyingine ni Bachelor of Computer information Security chuo cha UDOM.
Naomba kujua ktk mambo yafuatayo ili tupate vigezo vya kuchagua
1. Hizo cozi hasa Food science and technology ina husika na nini hasa na mhitimu anatarajiwa kufanya kazi ktk nyanja ipi? Vipi wigo wa ajira/ kujiajiri hapa
2. Hizo KOZI ya Computer information Security ina husika na nini hasa na mhitimu anatarajiwa kufanya kazi ktk nyanja ipi? Vipi wigo wa ajira/ kujiajiri
Wenye ufahamu mnisaidie Tafadhari.