Nchi hii imeoza hakuna kitu,mara waliochukua hela za epa warudishe,namajina ya wauza unga,ninayo majina ya majangili,kuwataja huwataji na hatua hawachukuliwi hatua,basi yeye ni mmoja wao ndomaans hawataji,serikali hii kila kesi wanashindwa kasoro ya babu seya tu.