Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,897
- 6,933
hebu niondokee huko we kibavicha. kama hata huelewi kikatiba, alichofanya Riz1 ni haki yake, tena nimekupa na takwimu halafu bado huelewi sina cha kukusaidia. tupa kule mbali kabisa we kibavicha cha kimsukule.
Unachokiona wewe ni Ridhiwani au mfumo? Mbona unatapika nyongo badala ya kutema cheche za hoja. Tunakazania kuutokomeza mfumo hodhi na kubakiwa na mfumo huru ndicho mnachotolea macho na kubandika watu bavicha? Laiti ungenifahamu ninayeandika hapa ungeanza na shikamoo badala ya kuniweka kundi la kizazi cha akina Lulu.