Mjasiria Akili
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 823
- 372
Nchi ni mbili tu, Tanganyika na Zanzibar, Tanzania sio nchi ni shirikisho tu, vipi iwe na Rais wakati ni shirikisho ? Kwa mujibu wa katiba ya zanzibar mabadiliko ya 10 inasema Zanzibar ni nchi na mipaka yake. Tanzania sio nchi ni shirikisho.
kwa hiyo wewe ni raia wa nchi gani kati ya hiyo zanzibar yenye mipaka yake au raia wa shirikisho 'tanzania'