LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,498
- 3,390
Huyu upeo wake ni mdogo sana kujadili mambo nyeti yahusuyo nchi, kama haya ya katiba.
Kha ha ha ha ha ha haaaaaa! Sasa wewe jana umeona jk amesema nini cha maana kwa Watanzania wapatao 44.9M waliopo Nchini?
Unamkataa Mh. G . Lema ila utamkubali tu!