Recent content by MANYASANI

  1. MANYASANI

    Borax badala ya mercury ktk uchimbaji dhahabu

    BORAX HAPA DAR INAPATIKANA WAPI
  2. MANYASANI

    NAULIZIA BORAX YA KUSAFISHIA DHAHABU

    Wadau naulizia borax yakusafishia dhahabu hapa DAR ES SALAAM INAPATIKANA WAPI KWA BEI YA JUMLA,,,KAMA KUNA MTU ANAFAHAMU ANIFAHAMISHE KUPITIA 0674399633
  3. MANYASANI

    Leo nayatoa ya moyoni yaende kwa waajili wote kuanzia serikali kuu,mamlaka za chini na sekta binafsi

    Nina maswali kadhaa 1) Ningependa nipewe majibu na waziri husika hivi kama serikali ina mpango gani wa kuchunguza haya makampuni ya recruitmen ili ijiridhishe kama watanzania wanatendewa haki ama ione kuna umuhimu wakuendelea kuyaruhusu kuendelea na biashara hii? Serikali ijiulize hivi...
  4. MANYASANI

    Barua ya wazi mamlaka husika

    BARUA YA WAZI KWA MAMLAKA HUSIKA ZOTE, JUU YA SWALA LILILOMKUTA SHILOLE KWA KITENDO CHAKE CHA KUONEKANA AKIWA ANATUMBUIZA NCHINI BELGIUM HUKU SEHEMU ZAKE ZA MWILI ZIKIWA NJE MIEZI KADHAA ILIYOPITA,,HALI AMBAYO KISHERIA NI KOSA NANIUKIUKAJI WA MAADILI YA SANAA YA TAIFA LA TANZANIA,JAMBO AMBALO...
  5. MANYASANI

    Hello

    Tanzania inachangamoto na tatizo moja wapo niwazembe wakufikiri na kufanya kazi
  6. MANYASANI

    Hello

    Natafuta kazi ya ukondakita. Kwa hapa dar es salaam.......mie muaminifu na mcahapakazi kwa mawasiliano zaid kama unayo gari nishutue email au kwa kukoment .....mymkee@gmail.com
  7. MANYASANI

    Joining Instructions Kidato cha Tano 2015, malipo na mahitaji ya shule

    WANAJAMVI NAOMBENI MNISAIDIE JOIN INSTRUCTION YA SHULE YA LUSANGA SECONDARY MNITUMIE KWENYE EMAIL manyasani@gmail.com au whats 0764766574,,,au hata mnisaidie mawasiliano ya mwalimu yeyote hapo shuleni
  8. MANYASANI

    Ni dhahiri kifo cha CCM kinatabirika miaka michache ijayo!

    jamani eeh mwenye join instruction za lusanga secondary school iliyopo morogoro mvumero
  9. MANYASANI

    Joining Instructions Kidato cha Tano 2015, malipo na mahitaji ya shule

    Jaman mwenye join instruction ya Lusanga secondary school ya morogoro wilaya ya mvumero anitumie what's 0764766574 au email manyasani@gmail.com
  10. MANYASANI

    Nahitaji namba za simu za mwalimu yeyote kutoka Lusanga secondary iliyopo Morogoro

    Kwema wadau mwenye mawasiliano ya lusanga secondary school iliyopo morogoro mvumero anisaidie nashida nazo,,asante sana
  11. MANYASANI

    Butiku: Midahalo kuendelea nchi nzima kalenda kutolewa wiki hii

    Jaman tuwaombe waanzisheee bakuri tuchangie hela za ulinzi wa midahalo hio,,,,,,mungu awabariki axape nguvu,,,tupo pamoja sana warioba ni baba yetu na ndugu yetu sisi wanyonge,,,,,ccm wajifunze kushindwa ni jambo la nguvu ya hoja
Back
Top Bottom