Recent content by Manyanda X

  1. Manyanda X

    Simulizi: Mimi na Mimi

    Alitoaga namba za simu kwa ajili ya full story , huenda ana group la whatsapp ambako nondo zinashushwa tu.😅
  2. Manyanda X

    Simulizi: Mimi na Mimi

    Mkuu shukrani sana kwa story nzurii, leo siku ya tatu nalalamikiwa siko sensitive na ninachoambiwa 🙌🙌🙌
  3. Manyanda X

    Niwekeze kiasi gani UTT AMIS ili gawio langu kwa mwezi ifike 250k

    Daaah..mkuu si ungeishia tu kwenye 30M😂😂😂😂😂
  4. Manyanda X

    Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

    Wanaume wenye akili daima wanajua fitna za kiuchumi ili ndoa isonge,jifanye democrat uone tofauti ya jua na mwezi japo vyote vinaangaza. The only place you can win your wife intelligently ni kwenye finance yaan hapo tuuuu ndipo utadhihirika wewe jiniazi kweli au kiazi wa maisha🤣🤣🤣...
  5. Manyanda X

    Tanzania: Mtandao wa Intaneti wapotea hewani

    Oyaaa..mwacheni bana shemeji ..mbona mnamnanga sana, kuachana ishu za kawaida tu.
  6. Manyanda X

    Bando sasa ziwe bila ukomo wa muda wa matumizi

    Bando litaisha ..na hakuna kitu mtafanya😅
  7. Manyanda X

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Daaaaah😂😂😂😂😂
  8. Manyanda X

    Kibatala wewe ni wakili mzuri na msomi lakini punguza majivuno na dharau dhidi ya mamlaka

    Yaaan mtu kamaliza LLB na law school unamwita kilaza??.. mkuu acha kujidhalilisha.
Back
Top Bottom