Kifupi tunapoelekea siko kabisa. IMF wamesha itaadharisha serikali ifikapo juni - julai mwaka huu hali ya kiuchumi nchini inaweza kuwa mbaya sana endapo hatua za awali hazitachukuliwa.
Wamarekani this tyme hawataki kiongozi ambaye ni legelege.
Ukichunguza kwa undani utabaini kuwa Trump ndiye mtu anayefiti ktk hiyo nafasi kwa sasa, ingawaje kauli na matamshi yenye utata ndivyo vinavyoonekana kumponza, lakini haibadili ukweli kwamba jamaa anakubalika.
Kama utakumbuka kauli ya...
Kutokana na kauli zake za kutatanisha ambazo mimi naziita "vijembe kwa upinzani'' ni ushaidi tosha kuwa huenda "jamaa mkubwa" ana user account ktk mtandao huu pendwa kabisa wa kijamii nchini Tanzania.
Tena inawezekana kabisa huenda hata anakesha 'akiskroo' nyuzi mbalimbali zinazomlenga yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.