Kama humjui Dotto. We ni mgeni Kinondoni. Huyo ni mzawa asilia kabisa wa Kino. Ukianzisha bifu na Dotto na wewe sio wa Kino. Wana Kino wanakuwa kitu kimoja dhidi yako. Chukua tahadhari kijana.
Nimesoma hii topic kwa muda mrefu bila kuchangia chochote, sasa ni muda muafaka nami nichangie.
U = Upungufu wa
KI = Kinga
MWI = Mwilini
Swali:
Upungufu wa kinga mwilini unasababishwa na nini?
Je! Unasababishwa na HIV?
Je! Unasababishwa na malnutrition?
Upungufu wa Kinga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.