Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na joto kali sana lililopitiliza ndani hakukaliki wala nje. Wataalam wa hali ya hewa wanasema Dar ina excessive heat, 76% humidity na joto linakadiriwa kuwa 35c na hapo kukiwa na hadha ya kukatika umeme usiku na mchana. Tunashauriwa kwa siku atleast unywe...
Huwa wanatabia ya kujisikia saana na hawakipendi kiswahili kbsa ila binafsi sijui kinachowafanya wajickie ni nini maana kwa east africa wako nyuma kuanzia maendeleo hadi uzuri wa sura watu wengi huwa wanawacheka tu na kuwaangalia.I dnt know what are they proud off!
Tatizo timu ha taifa washaingia wanasiasa kocha hana hamasa hata kidogo kama hayupo vile wanasiasa tu ndo wanahangaika na timu sijawahi ona dunian tff ndo ilitakiwa kulibeba hili kwa akili za kiprofessional sio kukimbia majukumu yao
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.