Hongera shirika la umeme.!!!

Hongera shirika la umeme.!!!

Ukitaka kumteka mwafrika mnyime haki yake Mara nyingi zaidi ila siku utakayompa haki yake mara moja tu atakushukuru sana na kukuona shujaa wake....

Ila ukizoea kumpa ikatokea siku moja tu ukamnyima utakua adui wake wa kudumu
 
Ukitaka kumteka mwafrika mnyime haki yake Mara nyingi zaidi ila siku utakayompa haki yake mara moja tu atakushukuru sana na kukuona shujaa wake....

Ila ukizoea kumpa ikatokea siku moja tu ukamnyima utakua adui wake wa kudumu
Umesema kweli tupu
 
Ukitaka kumteka mwafrika mnyime haki yake Mara nyingi zaidi ila siku utakayompa haki yake mara moja tu atakushukuru sana na kukuona shujaa wake....

Ila ukizoea kumpa ikatokea siku moja tu ukamnyima utakua adui wake wa kudumu
Aisee kwahiyo wametuona mazuzu..?
 
Mitaa yetu ulikatika ila wameurudisha mapema. Nadhani walizingatia miundo mbinu ya uswazi haiko poa tofauti na huko kwenu ushuani wasikowakatia. Ila hongera zao wanajitahidi now days wazee wa ugavi
 
Mitaa yetu ulikatika ila wameurudisha mapema. Nadhani walizingatia miundo mbinu ya uswazi haiko poa tofauti na huko kwenu ushuani wasikowakatia. Ila hongera zao wanajitahidi now days wazee wa ugavi
Hata kurudisha mapema wamejitahidi sana..
 
Back
Top Bottom